mcfm40
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,452
- 3,151
...
@#***..... zenu CCM wote ,kwa nini hamfi!
Mimi nadhani ni wakati muafaka wa Tume ya katiba kujiuzulu kwa sababu Bulembo ni mjumbe wa halmashauri kuu. Na mwenyekiti wa wazazi ccm. Hivo anachokisema ndio msimamamo wa chama kwamba warioba na tume ya katiba wamewaudhi ccm. Kwa nini tume isijuzulu ikawaachia ccm watengeneze katiba yao wanayotaka? Kama kina warioba watakubali kuendelea na kazi huku waki tukamwa
tknwa na ccm huku Kikwete akiwa kimya