...
@#***..... zenu CCM wote ,kwa nini hamfi!
...
@#***..... zenu CCM wote ,kwa nini hamfi!
huyo jamaa ni std 7 hayo maneno analishwa na mpambe wake mbeba box alie lost le mutuz na ndo anazunguka naye mikoani,ukisoma post za william malecela kuhusu Warioba na maneno ya Bulembo leo ni copy n paste
Mbona wanahangaika na mzee warioba?? Warioba hana aliloiandikia na kulitangaza, katamgazamaoni ya watanzania na ndio anayasimamia.. Upumbavu wa ,maccm ni kudhani wao ndio wasemaji wa watanzania.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Abdallah Bulembo amemshambulia kwa maneno makali Mkiti wa Tume ya Katiba Jaji Joseph Warioba.
Akihutubia mkutano wa CCM Tanga Bulembo amesema Warioba hana haki wala mamlaka ya kuwasemea Watanzania kuhusu Katiba mpya.
Source:ITV
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Abdallah Bulembo amemshambulia kwa maneno makali Mkiti wa Tume ya Katiba Jaji Joseph Warioba.
Akihutubia mkutano wa CCM Tanga Bulembo amesema Warioba hana haki wala mamlaka ya kuwasemea Watanzania kuhusu Katiba mpya.
Source:ITV
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Abdallah Bulembo amemshambulia kwa maneno makali Mkiti wa Tume ya Katiba Jaji Joseph Warioba.
Akihutubia mkutano wa CCM Tanga Bulembo amesema Warioba hana haki wala mamlaka ya kuwasemea Watanzania kuhusu Katiba mpya.
Bulembo ambaye pia ni mjumbe wa Kamati Kuu CCM amesema Warioba anapaswa kukaa mbali na kuwaamulia Watanzania Katiba aitakayo yeye.
Itakumbukwa Abdalla Bulembo alishindwa vibaya kwenye uchaguzi wa udiwani 2010 na mgombea wa CHADEMA.
Source:ITV
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Abdallah Bulembo amemshambulia kwa maneno makali Mkiti wa Tume ya Katiba Jaji Joseph Warioba.
Akihutubia mkutano wa CCM Tanga Bulembo amesema Warioba hana haki wala mamlaka ya kuwasemea Watanzania kuhusu Katiba mpya.
Source:ITV
Safi sana bulembo tunataka Ccm ijipambanue uzezeta wa viongozi wake ili umma wa watanzania na mkuu wa nchi awatambue na mwisho wa Siku tukae meza moja kujadili katiba na si kupitisha kwa wingi wao.hata Pinda kachemka Huko kigoma eti wana yo haki ya kuamua fate ya katiba kwa wingi wao
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Abdallah Bulembo amemshambulia kwa maneno makali Mkiti wa Tume ya Katiba Jaji Joseph Warioba.
Akihutubia mkutano wa CCM Tanga Bulembo amesema Warioba hana haki wala mamlaka ya kuwasemea Watanzania kuhusu Katiba mpya.
Bulembo ambaye pia ni mjumbe wa Kamati Kuu CCM amesema Warioba anapaswa kukaa mbali na kuwaamulia Watanzania Katiba aitakayo yeye.
Huku akisisitiza kupinga kinachofanywa na Warioba aliwauliza wananchi kwa msisitizo..'Kwani Warioba ni Nani?' ....
Itakumbukwa Abdalla Bulembo alishindwa vibaya kwenye uchaguzi wa udiwani 2010 na mgombea wa CHADEMA.
Hata mimi nimemsikia na kitambi chake cha vibua.
huyu bulembo ndiye amejenga ofisi juu ya choo cha stand ya mwenge na manispaa ya kinondoni yenye meya wa ccm haijavunja ofisi hiyo no kodi halipiHuyu Bulembo ni MAJANGA tu, amejaa uccm wala HANA UTAIFA.
mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi ccm abdallah bulembo amemshambulia kwa maneno makali mkiti wa tume ya katiba jaji joseph warioba.
Akihutubia mkutano wa ccm tanga bulembo amesema warioba hana haki wala mamlaka ya kuwasemea watanzania kuhusu katiba mpya.
Bulembo ambaye pia ni mjumbe wa kamati kuu ccm amesema warioba anapaswa kukaa mbali na kuwaamulia watanzania katiba aitakayo yeye.
Huku akisisitiza kupinga kinachofanywa na warioba aliwauliza wananchi kwa msisitizo..'kwani warioba ni nani?' ....
Itakumbukwa abdalla bulembo alishindwa vibaya kwenye uchaguzi wa udiwani 2010 na mgombea wa chadema.
Source:itv