LGE2024 CCM yashinda 98.83% Wenyeviti Serikali za Mitaa

LGE2024 CCM yashinda 98.83% Wenyeviti Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Huu upumbavu ndio reflection ya udumavu WA akili wa mtu mweusi
Ngedere kabisa
 
kila moja kavuna alichopanda kwa wanainchi.

Imani ya waTanzania imeamua uelekeo wa Taifa.
Hongera sana CCM kwa ushindi wa kishindo.

Shukrani sasa vyama vingine kwa kushiriki uchaguzi kwa amani.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi 🐒
Kudumu Chama cha Majizi wa Kura
 
Iyeeena iyeeena, iyeeena iyeeena, iyeeena iyeeena(kiitikio-Lissu na wenzake) CCM nambari one
 
Kipi ambacho hakikuwepo huko kwenu?

Unadhani matukio 5 tuliyoona kwenye media ndio yanaweza batilisha uchaguzi?

Wewe hukusikia nusu ya maeneo Wapinzani wakikosa watu?

Hukusikia Wapinzani wamekatwa Kwa Kushindwa Kufuata taratibu za uchaguzi hata baada ya rufaa walishindwa?

Hukusikia Wapinzani wamekosa mawakala?

Wakati wa kujiandikisha ccm inahimiza na kutafuta Wafuasi wao Chadema na Wapinzani eti wanamlaumu Serikali kutohimiza watu kujiandikisha wakati wao mitandaoni Kuandika ujinga?

Wapinzani akili hamna na mbaya zaidi hawakujiandaa wakidhani eti Watanzania wanaichukia CCM,thubutu.

On top of that waliweka wagombea dhaifu wasioweza kushindana na CCM.
Kvma la mama yako
 
Kuna rafiki yangu na wasichana wake dukani walichukuliwa dukani na ma ccm kwenda kupiga kura wakati hawakujiandikisha!.
Dodoma Mjn.
 
Back
Top Bottom