CCM yatoa onyo kali kwa viongozi wastaafu

CCM yatoa onyo kali kwa viongozi wastaafu

Kama vipi wapasuane tu nchi ipone
FB_IMG_1572697051230.jpg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Taifa Fadhili Rajabu Maganya ambaye pia ni Mjumbe wa kamati kuu ya CCM Taifa aliye katika ziara mkoani mara ameyasema hayo huku akimnyyoshea kidole aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa Mara Samweli Kiboye maarufu Namba 3.
CCM Wana vichwa vigumu sana ktk kujitunza mambo. Huyu Fadhili Magaya hajui athari ya makalipio yake? Hajajifunza kwa Ally Happi?

Mambo huwa yanabadilika. Unayemuona wa nn leo, siku si nyingi utakukaa akilini.
 
Back
Top Bottom