CCM yatoa wiki moja Walimu wote wapate vishikwambi


Wakapige kwanza rangi majengo waliyopara kutoka mfumo wa chama kimoja cha siasa.
 
Wilaya ya bahi dom walimu wote na wataalamu wa maabara wote wamepata vishkwambi......!! Halmashaur nyngne wamevipiga hivyo
 
Tayari naye kaanza maigizo !
 
Ndo maana wapinzani huwa wakilalamika wanasema serikali ya CCM, ko ndo chama chenye mamlaka juu ya serikali
 
Huyu mama kumbe bado mrembo namna hii.

Then sikujua kama chama kinaweza kuielekeza serikali iteteleze maagizo.

Kama inawezekana waielekeze serikali iache kununua magari ya kifahari ili pesa zitumike kwenye miradi ya maendeleo kwa faida ya watanzania wote.

Alafu hapo anamuelekeza mwenye kiti au nani.
Sababu mwenyekiti ndio anaesimamia serikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…