Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Ni chama cha kigaidi kinyang'anyi na kila ushetaniCcm imebaki kuwa genge la walafi.
Mzee hizi Picha za kampeni ya Lowassa 2015 Mbona unazitumia sana???? Umekosa hoja za ku comment kwenye nyuzi za watu au???
delea kujifariji na hizo Picha za 2015. Huku Lissu anazidi kuwapoteza vibaya mataga
Huna hoja masikini, umekomaa na blur picture za miaka 'mitano' iliyopita [emoji23][emoji23]
Yaani toka jana mate yamekukauka umefreeze ,umebaki kutumia vipicha vya miaka mitano iliyopita.View attachment 1568260 kamanda usikasirike, Chadema bila kusomba watu watahutubia miti
Duuh.. wanatisha sana hawa ccmChama Cha makanikia chini ya Mhutu kimekwisha kabisa hakuna anayekitaka , yaani ushindwe kuajiri ,kuongeza mshahara, kupandisha madaraja ,kulipa wastaafu , ubomolee watu nyumba , ufukuze watu kazi hovyo kisa umelewa bangi , uteke uue ,upoteze watu ,ule hela za rambirambi za tetemeko la Kagera , uibe hela za korosho , ubambikie watu kesi , upole wake za watu , ukiuke haki za binadamu , uongezeke makato ya bodi ya mkopo , uibe 1.5 tilioni , ununue mandege used , upole pesa za watu bureau de change halafu watu wakachague ? Labda wagonjwa wa milembe.
Hapo wamepanda wamekaa wanasikiliza hotuba, siyo kusombwa. Usombaji unafanywa na ccm tuView attachment 1568260 kamanda usikasirike, Chadema bila kusomba watu watahutubia miti
Mzee kawazingua live. Kwanza ameingia kwa mbwembwe wakampokea😅😅Hahaha mzee katoa bonge la boko!
Kumtaja aliyeajiri wasiojulikana ni matusi? Kumsema rais goigoi aliyeshindwa kila kitu ni matusi?Mikutano ya Chadema inahoja gani zaidi ya matusi?
Ajira zipi? Kwenye mtaa wako nitajie zahanati japo moja iliyojengwa, mkoani mwako nitajie hospitali mbili zilizojengwa acha maneno matupuRais Magufuli ametupeleka Tanzania katika uchumi wa kati, amepeleka umeme kila kijiji, Zahanati kila kijiji, elimu bure,barabara za lami kila mkoa, ajira za kumwaga
Kubwa zaidi alitutetea Watanzania tusiibiwe raslimali zetu ili hali Chadema wakiwatetea Wazungu watuibie
Zipi zinatoka kila siku. Unajua nyie wanaccm mnadhani na sisi watanzania tuko wajinga kama nyie. Mwaka huu hatudanganyikiAjira zinatoka kila siku, hospital zinafanyakazi kila kijiji labda km Wewe sio Mzalendo
[SUB]Mwenye Kupenda Haoni Chongo Atasema Kengeza [/SUB]Ajira zinatoka kila siku, hospital zinafanyakazi kila kijiji labda km Wewe sio Mzalendo