JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,957
Unaota wewe, iacheni demokrasia iamue.Zanzibar mnachezea sharubu za Magufuli
Msomage alama za nyakati-Magufuli hapendi siasa za majitaka, mizengwe, rushwa na kung'ang'ania uongozi
Anaweza kuusitisha na kufuta huo mchakato mzima, akaanzisha mwingine, na kuwaondolewa sifa za kuomba tena wale waliohusika na mchakato wa awali
Sent using Jamii Forums mobile app