Unaota wewe, iacheni demokrasia iamue.Zanzibar mnachezea sharubu za Magufuli
Msomage alama za nyakati-Magufuli hapendi siasa za majitaka, mizengwe, rushwa na kung'ang'ania uongozi
Anaweza kuusitisha na kufuta huo mchakato mzima, akaanzisha mwingine, na kuwaondolewa sifa za kuomba tena wale waliohusika na mchakato wa awali
Mpwa Yule si "mngoni"😂😂Kelele nyingi ila kila mmoja anajua shughuli ipo kati ya Mbawala n Mwinyi. Mbawala toka Chamwino Mwinyi toka Kisiwandui. Mwenye kuelewa atakuwa amenielewa.
Anika mkuuNahodha ndio sufuri ni msindikizaji tu na mchumia tumbo. Scandal zake zikianikwa utatapika
Gavana...plz ntashukuru ukilijibu hlo nililokuuliza hapo juuKisiwandui inayalinda mapinduzi matukufu,sasa ITAONDOKAJE?
Wivu tuHakuna hata siri kila mtu anajua kabla hajawa waziri kiongozi alikuwa vipi na baada ya miezi isiyofika mitatu kafanya nini. Unguja ni ndogo hata ukijamba harufu kila mtu anaisikia
Gavanaaa eee umelikimbia SUALI langu la kuyalinda mapinduzi matukufu kufa na kupona....😂😂Gavana...plz ntashukuru ukilijibu hlo nililokuuliza hapo juu
Akutukanae....yaani watu wana rais, bendera, BARAZA la WAWAKILISHI, wimbo wa taifa, vikosi vya majeshi chini ya mh.Shein,Leo unawaita mkoa salalee ndo Mana SPIKA mh. Ndugai anachukizwa Sana na watu wasio na lugha za staha kwa wengine.....Tupo bega kwa bega na mkoa wetu ZANZIBAR hadi tujue mwisho wake.
Utukufu ni wa Allah tu si mavamizi
Zanzibar mnachezea sharubu za Magufuli.
Msomage alama za nyakati-Magufuli hapendi siasa za majitaka, mizengwe, rushwa na kung'ang'ania uongozi
Anaweza kuusitisha na kufuta huo mchakato mzima, akaanzisha mwingine, na kuwaondolewa sifa za kuomba tena wale waliohusika na mchakato wa awali
Havana hoja zako zinashabihiana na ukweli sheikh.
Lakini Kati ya watu hao lazima MWINYI AWE KIDEDEA. Je ataweza kukabiliana na mfumo uliomshinda shein?