CCM Zanzibar yamfuta uanachama Balozi Ali Karume

Ugomvi wa familia zenye nguvu za kisiasa ndani ya CCM Zanzibar, ambao wote wanataka uongozi. CHADEMA wakae kimya wamwandae mtu wao, wasimtegemee huyo.
Ushauri mzuri sana CHADEMA ijiandalie watu wake...na kwa kuongezea: CHADEMA ijiwekeze kwa kutetea maslahi ya Tanganyika
 
Kama kawaoda.

Watu wengi wanashindwa kuongelea sera kwa hoja anuai tunduizi na za kidhahania, wanishia kujadili watu.
 
Still loading…….
Mtajiloga
 
Dr. Slaa afutiliwe nini?
 
Masikini balozi Karume ......
 
Kitanuka Zanzibar very soon! Ali Karume ana power sana na anaungwa mkono na wengi ndani ya chama.
Watumie tu busara, Mwinyi kaka yangu nisikilize, mbona wewe huwa ni humble? Let them be for the sake of national unity
 
Chadema walipinga bwawa la umeme ,ndege za Atcl. Wana laana ya Magufuli.

Ali Karume njoo Umoja party
Teh teh teh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ dah!...we jamaa ni comedian haaa haaa haaaaaaaa πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Ali karibu CHADEMA.
 
Chadema twende na karume 2025
 
Hivi zito alivyotoa mawazo kinzani pale cdm kipi kilimpata??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…