Moja moja kwa mada:
Ili kuondoa haya malalamiko ya wagombea wa CCM kuanzisha vurugu na kuwasingizia wapinzani ili watolewe nje na Police then wao wanabadilisha matokeo then mawakala wanarudishwa ndani kuhesabu, pamoja na hujumu zingine kama kwenda kula chakula ndani watu wanafanya yao.
Kwanini kila kituo cha kupigia kura pasiwekwe CCTV camera na iwe ina record kila kitu kwenye local server pamoja na kuonyesha kwenye simu ya kila mgombea ili kama ikitokea shida kwenye local server basi kila mgombea anabaki na CCTV footage copy yake.
Kwanza ni nafuu maana huitaji internet zaidi ya network tu. Hili litapunguza hujumua kwa kiasi kikubwa.
Je, kwa sheria za uchaguzi zetu zilivyo na makandokando wanaweza ruhusu hili?
Pia niwaulize wadau hili linaweza kusaidia kupunguza hujumu zinazofanyika?
Asanteni
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - NEC: CCTV zifungwe kuepusha wizi wa kura
Ili kuondoa haya malalamiko ya wagombea wa CCM kuanzisha vurugu na kuwasingizia wapinzani ili watolewe nje na Police then wao wanabadilisha matokeo then mawakala wanarudishwa ndani kuhesabu, pamoja na hujumu zingine kama kwenda kula chakula ndani watu wanafanya yao.
Kwanini kila kituo cha kupigia kura pasiwekwe CCTV camera na iwe ina record kila kitu kwenye local server pamoja na kuonyesha kwenye simu ya kila mgombea ili kama ikitokea shida kwenye local server basi kila mgombea anabaki na CCTV footage copy yake.
Kwanza ni nafuu maana huitaji internet zaidi ya network tu. Hili litapunguza hujumua kwa kiasi kikubwa.
Je, kwa sheria za uchaguzi zetu zilivyo na makandokando wanaweza ruhusu hili?
Pia niwaulize wadau hili linaweza kusaidia kupunguza hujumu zinazofanyika?
Asanteni
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - NEC: CCTV zifungwe kuepusha wizi wa kura