LGE2024 CCTV Camera kwenye chumba cha kupiga kura

LGE2024 CCTV Camera kwenye chumba cha kupiga kura

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Hebu endelea kutoa elimu hapo mkuu! Sasa kwa mbunge itakuwaje maana ndani ya jimbo ana vituo vingi vya kupigia kura ataweza vipi kufuatilia matukio kwenye vituo vingine?
Hapo kuna changamoto kidogo. Angeweza kuwa ana switch kutoka connection ya serve ya kituo kimoja kwenda server ya kituo kingine. Ila hapa changamoto ni mbili.
1: Umbali kutoka server moja kwenda server nyingine kuna limitation ya connection (LAN)
2: Kila unapo switch connection kutoka server ya kituo A kwenda kituo B basi jua recording itasimama hivyo utakuwa na vipande vipande ambapo kuna matukio utayakosa kadiri unavobadilisha badilisha connection.
So njia hii siyo effective.
***Njia mbadala kwenye hili la mbunge ni kuwa na smartphone kila kituo ili usiruke tukio lolote japo ni expensive kidogo lakini litakuwezesha kujua kila kilichotokea kwenye kituo cha kupigia kura.
So kituo A unamwachi simu mtu unayemwamini mathalani mkeo,
Kituo B unakaa wewe na kituo C unaamua mtu wa kumwachia.
Wewe kazi yako ni kuzungukia simu zako na kukagua kinachoendelea, tena vizuri wewe usikae na simu ili uwe na muda mzuri wa kufatilia.
Kwa hili utakuwa na macho mawili ya kukufatilizia matukio yaani Wakala wako na camera.
Nimejitahidi kuandika kwa lugha nyepesi niwezavyo
 
CCM hawawezi kukubali!
Sawa ni kweli hawatakubali, lakini wanaweza kutoa sababu zip za kukataa wakati simu ni gharama ya mgombea na mgombea halazimishwi kutumia kamera/simu
 
CCM wanapenda mambo ya gizani - hawawezi kabisa kukubali CCTV zifungwe vituuoni maana wao ndiyo chanzo kikuu cha vurugu katika vituo vya kupigia kura miaka nenda rudi wakisaidiwa na vyombo vya dola.
 
Mawakala wa Chadema nao ni mbuzi ukiamua kuwa wakala hakikisha umejitoa kweli. Sio kuitwa nje na wewe inatoka mara ulipiwe msoso na wewe unaenda. Si usenge huo.

CCM kuiondoa hakuhitajiki udemokrasia na uromantic maaana mtaji wao ni polisi( wote tunajua akili za hawa viumbe zilivyo) plus mawama wapenda vitenge( hili ni kundi kubwa sana) wazee wale wapenda kahama, na vijana wajinga( hawa ni machawa, Wengine wamesoma lakini hawajitambui)

Kuondoa chama chenye watu dizain hiyo inabidi kutumia njia ngumu za kujitoa mhang. Bahati mbaya viongozi wa aina hiyo hatuna. Wote ni mbuzi tu wapo kimasilahi. Kazi kutukana na kutafuta pet issue wanaruka nazo.

NB. Mimi naona tuachane na mambo ya upinzani kwanza. Tufanye mapinduzi ya mpira. Hasa simba na yanga. Why?
Cz kundi kubwa kwenye jamii wamejikita huko.
 
kwanini wenzetu wanaofanya chaguzi za haki kuwa wanahesabu vp kura zao mfano USA, malawi,Botswana na Zambia na kwa mbali kenya kwanini tusicopy mazuri yao kuliko tunavyofanya eti kura zinapigwa vituoni alafu mnabeba masanduku mnaenda kuhesabu sijui ukumbini eti kuhesabu kwa pamoja sasa ajabu uko ukumbini unakuta wengine na masanduku yao washafika kiasi huwezi jua hayo masanduku ya kura yaliyowatangulia ni ya vituo halali au ya kuchomekwa..kama tunaweza kuhesabu kura za udiwani na ubunge na matokeo yake kubandikwa kituon kinashindikana nini kwenye kura za urais.tuwaige hata zambia
 
Moja moja kwa mada:

Ili kuondoa haya malalamiko ya wagombea wa CCM kuanzisha vurugu na kuwasingizia wapinzani ili watolewe nje na Police then wao wanabadilisha matokeo then mawakala wanarudishwa ndani kuhesabu, pamoja na hujumu zingine kama kwenda kula chakula ndani watu wanafanya yao.

Kwanini kila kituo cha kupigia kura pasiwekwe CCTV camera na iwe ina record kila kitu kwenye local server pamoja na kuonyesha kwenye simu ya kila mgombea ili kama ikitokea shida kwenye local server basi kila mgombea anabaki na CCTV footage copy yake.

Kwanza ni nafuu maana huitaji internet zaidi ya network tu. Hili litapunguza hujumua kwa kiasi kikubwa.

Je, kwa sheria za uchaguzi zetu zilivyo na makandokando wanaweza ruhusu hili?

Pia niwaulize wadau hili linaweza kusaidia kupunguza hujumu zinazofanyika?

Asanteni

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - NEC: CCTV zifungwe kuepusha wizi wa kura
ni kinyume na sheria ya faragha,
kura ni siri ya mpiga kura.

vipi ukimuona na ukijua kampeni meneja wako kampigia kura mpinzani wako, si itakua vita ya ghaza sasa 🐒
 
Hapa nitoe elimu kidogo. Kwa ishu ya Lissu ni kuwa only server ya pale ndiyo ilikuwa na record lakini kwa hii kila mgombea anakuwa na record ya kila kinachofanyika ndani ten live na siyo kuja kuona baadae.
Wagombea wengine hata hizo simu hawana kabisa.
 
kwanini wenzetu wanaofanya chaguzi za haki kuwa wanahesabu vp kura zao mfano USA, malawi,Botswana na Zambia na kwa mbali kenya kwanini tusicopy mazuri yao kuliko tunavyofanya eti kura zinapigwa vituoni alafu mnabeba masanduku mnaenda kuhesabu sijui ukumbini eti kuhesabu kwa pamoja sasa ajabu uko ukumbini unakuta wengine na masanduku yao washafika kiasi huwezi jua hayo masanduku ya kura yaliyowatangulia ni ya vituo halali au ya kuchomekwa..kama tunaweza kuhesabu kura za udiwani na ubunge na matokeo yake kubandikwa kituon kinashindikana nini kwenye kura za urais.tuwaige hata zambia
CCM ni wapumbavu! Kura huwa zinahesabiwa vituoni sasa huko ukumbi sijui huwa wanaenda kuhesabu nini tena! Wananchi tunatakiwa tuwe wakali, kwa mfano wakaiba kura wakatuletea mbunge ambaye hatukumchagu tuhakikishe hafanyi mikutano ya hadhara jimboni, abaki kuwa mbunge wa tume!
 
Back
Top Bottom