CDA Dodoma: Ruhusuni ujenzi wa fensi ndefu za moja kwa moja

CDA Dodoma: Ruhusuni ujenzi wa fensi ndefu za moja kwa moja

Marumeso

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2009
Posts
1,410
Reaction score
1,325
CDA Dodoma: Ruhusuni ujenzi wa fensi ndefu za moja kwa moja.

Hizi fensi za marembo mnazowataka watu wajenge zinaruhusu mtu aliyeko nje kuona kilichopo ndani matokeo yake watu wanaibiwa sana.
 
20210404_165246.jpg
 
Watanzania kwa maukuta bwana...dhibitini uhalifu..mbona hamjiulizi kwanini mataifa mengine hakuna mi ukuta?
Nyumba ikijengwa vizuri inapendeza ikiwa free pasipo kuta
Ningekua rais ningeshauri kuta zooote nchini ziondoshwe iwe kama zambia
 
Yaani Makao Makuu ya Nchi jiji la Dodoma Makao Makuu ya Chama, hamruhusiwi kujenga fensi ndefu? Kimo maximum mita ngapi?
Wana viwango vyao eti wanataka ile sehem ya mbele ya nyumba pasizibwe ila uweke marembo ili aliye nje aweze kuona ndani. Sasa matokeo yake majizi ndo yanatumia fursa kula chabo.
 
Wana viwango vyao eti wanataka ile sehem ya mbele ya nyumba pasizibwe ila uweke marembo ili aliye nje aweze kuona ndani. Sasa matokeo yake majizi ndo yanatumia fursa kula chabo.
Hapo kuna kuingia gharama za kumlipa mmasai hapo.
 
Watanzania kwa maukuta bwana...dhibitini uhalifu..mbona hamjiulizi kwanini mataifa mengine hakuna mi ukuta?
Nyumba ikijengwa vizuri inapendeza ikiwa free pasipo kuta
Ningekua rais ningeshauri kuta zooote nchini ziondoshwe iwe kama zambia
Gharama za manondo, mafensi, mageti, nyaya za umeme unaweza jenga ntumba nyingine.
 
CDA Dodoma: Ruhusuni ujenzi wa fensi ndefu za moja kwa moja.

Hizi fensi za marembo mnazowataka watu wajenge zinaruhusu mtu aliyeko nje kuona kilichopo ndani matokeo yake watu wanaibiwa sana.
CDA ILISHA FUTWA KITAMBO MKUU
 
Watanzania kwa maukuta bwana...dhibitini uhalifu..mbona hamjiulizi kwanini mataifa mengine hakuna mi ukuta?
Nyumba ikijengwa vizuri inapendeza ikiwa free pasipo kuta
Ningekua rais ningeshauri kuta zooote nchini ziondoshwe iwe kama zambia
haya ndo matokeo ya kuzoa tu vitu uko bila uangalie mazingira yetu. una hakika Sisi na ao Zambia tunafanana?
 
Watanzania kwa maukuta bwana...dhibitini uhalifu..mbona hamjiulizi kwanini mataifa mengine hakuna mi ukuta?
Nyumba ikijengwa vizuri inapendeza ikiwa free pasipo kuta
Ningekua rais ningeshauri kuta zooote nchini ziondoshwe iwe kama zambia
Halafu na kandambili nazo unaacha umefungia ndani.
 
CDA Dodoma: Ruhusuni ujenzi wa fensi ndefu za moja kwa moja.

Hizi fensi za marembo mnazowataka watu wajenge zinaruhusu mtu aliyeko nje kuona kilichopo ndani matokeo yake watu wanaibiwa sana.
Hawa VIBAKA (CDA) hawapo tena tuna jiji labda jiji lifanyie kazi ombi lako
 
Watanzania kwa maukuta bwana...dhibitini uhalifu..mbona hamjiulizi kwanini mataifa mengine hakuna mi ukuta?
Nyumba ikijengwa vizuri inapendeza ikiwa free pasipo kuta
Ningekua rais ningeshauri kuta zooote nchini ziondoshwe iwe kama zambia
Halafu inakuwa kama gereza unakuta ukuta mrefu hata hewa haipenyi vizuri ndani.
 
Back
Top Bottom