MoneyHeist4
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 2,134
- 3,192
Halafu inakuwa kama gereza unakuta ukuta mrefu hata hewa haipenyi vizuri ndani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu inakuwa kama gereza unakuta ukuta mrefu hata hewa haipenyi vizuri ndani.
Yes.Watanzania kwa maukuta bwana...dhibitini uhalifu..mbona hamjiulizi kwanini mataifa mengine hakuna mi ukuta?
Nyumba ikijengwa vizuri inapendeza ikiwa free pasipo kuta
Ningekua rais ningeshauri kuta zooote nchini ziondoshwe iwe kama zambia
Wewe umetokea wapi au hukuwa na bundle CDA ikifutwa?CDA Dodoma: Ruhusuni ujenzi wa fensi ndefu za moja kwa moja.
Hizi fensi za marembo mnazowataka watu wajenge zinaruhusu mtu aliyeko nje kuona kilichopo ndani matokeo yake watu wanaibiwa sana.
Duh kwahiyo Zambia nyumba zote hazina uzio.?Watanzania kwa maukuta bwana...dhibitini uhalifu..mbona hamjiulizi kwanini mataifa mengine hakuna mi ukuta?
Nyumba ikijengwa vizuri inapendeza ikiwa free pasipo kuta
Ningekua rais ningeshauri kuta zooote nchini ziondoshwe iwe kama zambia
Tunapenda kujenga Magereza, weka fence uani huyo kibaka anaona mbele ya nyumbaBongo bila fensi kama za jela na mbwa, nyumba huwa inageuka kuwa chama la wana...
Wana watajitwalia sana vitu kama simu n.k
Kujenga hivyo si kwamba ni mapenzi bali shida kama hizo za vibaka na wezi...Tunapenda kujenga Magereza, weka fence uani huyo kibaka anaona mbele ya nyumba
CDA wangekuwepo hivyo vibanda vya uani mlivyojenga na kupangisha msingeweza. Halafu mnataka kujenga fence au ni kuweka vyumba vya kupangishahiyo cda wamefutwa midomoni tu ao waliopo wanafanya yaleyale ya cda
HalafiuHao vibaka tuwapeleke wapi siye?!!Gharama za manondo, mafensi, mageti, nyaya za umeme unaweza jenga ntumba nyingine.
Mkuu Kuna fensi nzuri Sana Wala haitaji ma nondo Wala mawayaGharama za manondo, mafensi, mageti, nyaya za umeme unaweza jenga ntumba nyingine.
ww utakuwa mmojawapo ukawaambie wenzako waache ushamba wa kukopi vitu bila kuangalia mazingira halisi ya mahali.CDA wangekuwepo hivyo vibanda vya uani mlivyojenga na kupangisha msingeweza. Halafu mnataka kujenga fence au ni kuweka vyumba vya kupangisha
Unataka wakurahisishie kazi siyo? Basi waambie hata askari wasiwe wanafanya Doria.Watanzania kwa maukuta bwana...dhibitini uhalifu..mbona hamjiulizi kwanini mataifa mengine hakuna mi ukuta?
Nyumba ikijengwa vizuri inapendeza ikiwa free pasipo kuta
Ningekua rais ningeshauri kuta zooote nchini ziondoshwe iwe kama zambia
Kwani anaekosa hewa ni mwenye ukuta au mpita njia?.Halafu inakuwa kama gereza unakuta ukuta mrefu hata hewa haipenyi vizuri ndani.
Ni mapendekezo tu mkuu ila kuna mengine huwa tunafanya kwa kuiga majirani uncounciously lakin kwa mtazamo wangu mifensi yenye ukuta mrefu siweki kwangu hata hizi dirisha za alluminium za kuslide zinafunguka nusu dirisha sijaweka kwangu labda tu nifunge a/c na hicho kitu ndo sitaki.Kwani anaekosa hewa ni mwenye ukuta au mpita njia?.
Mwanangu, haya ni mambo ya mwaka 47...CDA maana ake Ni nini?
Mtoa mada ameandika kana kwamba Kila mtu humu anaishi dodoma
Sawa sawa chiefMwanangu, haya ni mambo ya mwaka 47...
CDA - Capital (Dodoma) Development Authority...