ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Vijijini kuna watu wana pesa aisee hadi tena zinakabiliwa hapohapo home,mzee unakuta ana mifugo kama kufuru vijijini ati wapo vzrHuu mfano ni mfu, vijijini hawaweki kwa sababu ya gharama. Pia maeneo mengi vijijini ni makubwa sana, hivyo si rahisi kuweka kuta.
Kuna baadhi ya vijiji mfano mtwara wanatumia kuta za makuti