That was the point of doing the investigation, they're trying to look for a root cause. The machines could be faulty, may be there was a plot to sabotage the image of the country, some of the test kits could have been deliberately infected, there are a lot of questions to be answered.
Namwona Dr. Nyambura Moremi (PhD) akila shavu CDC muda sio mrefu! Naona njia ikisafishwa kwa ajili yake.
Atakua katumwa na mabeberu huyuNkengasong sio beberu huyo ni mkikuyu wa kenya
mi kama kitu nakijua naona wewe hukijui nitakujibu blank.kuwa sio sahihi....kama nina shaka ndio nitachunguza...hivyo huyo mtaalamu inaonesha ana uhakika na majibu yakeNdio sababu sisi tukaitwa waafrika, akili zetu zina matatizo sana. Magufuli alitoa shutuma na kutaja kila mnyama na matunda aliyotumia, nilitegemea huyu jamaa kutuma "delegation" au kuagiza hizo "Sample" zitumwe katika nchi mbalimbali ili kuthibitisha hili analosema Magufuli, badala yake yuko huko Geneva anatoa "statements" bila hata kujiridhisha. Hovyo sana sisi waafrica".
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio Tanzania peke yake imelalamika. Tanzania ina distinction ya ku test kisiri siri non human samples. India wao wali test kisiri samples za wagonjwa wanaojulikana wana Corona, samples zikarudi negative.But how many ? Nchi ngapi za afrika zimelalamikia vifaa mpaka sasa? Well ni tz tu.
Inamaana vya wenzetu ni.orijino vyetu fake...?
This was simple. Inaonyesha chinese devices zina shida.Sio Tanzania peke yake imelalamika. Tanzania ina distinction ya ku test kisiri siri non human samples. India wao wali test kisiri samples za wagonjwa wanaojulikana wana Corona, samples zikarudi negative.
Wengi tu wamelalamika mbona. Netherlands, Spain, Turkey, India walilalamika kabla ya Tanzania.
View attachment 1444374
View attachment 1444377
Halafu mtu wa CDC Afrika anaongea from afar
hizo mashine zenu hazina shida!
How ridiculous!
Wasukuma bhana sijui mkoje yaanHuyo Dr. ameongea hayo akiwa nchi ipi
kazi kwenu Sasa kumwamini baba yenu au kuamini hao wanaomtongoza mama yenu.Hii inaitwa Aibu juu ya Aibu. Baba kavuliwa nguo hadharani Aibu tunasikia watoto.
Ahhh baba uliye juu tuepushie hiki kikombe!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna chama, CCM, umehama?Punguzeni ujinga..sina chama lakini haakuna Rais makini Afrika hii kama JPM, tumieni akili zenu kufikiri badala ya kubeba maneno ya washenzi walio karibisha mkono wa mkaburu ndani yao
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Kwa kuwa sikusoma shule/darasa moja na wewe, natamani siku moja apatikane mtu ulie soma nae ili atueleze ulikuwa mtu wa aina gani darasani, maana sikuelewi unachoandika. Katika baadhi ya unayo andika nilidhani ni kutokana na mapenzi ya chama, lakini kadri siku zinavyo kwenda ndio nazidi kuto kukuelewa.Dr anaitwa nkengasong tipikal atakuwa mkikuyu.
Report itachakachuliwa na kusema maabara ni mbovu vifaa feki lazima waje na majibu ambayo mtukufu magufuli atapenda ayasikie, siyo majibu sahihi kuwa vifaa ni vizima na ni bora sana, tume itakuwa ya kufurahisha mtukufu siyo kuwabambikia ukweli watanzania... zingatieni utaalamu acheni kujitoa ufahamu. Anyway, tusubiri ile tume ya maprofesa tuone itakuja na ripoti ya aina gani. Kwa mbaali naanza kuona ripoti ikichanwachanwa vipande tena kimya kimya.
Papai lina DNA? Papai lenyewe lilikuwa na Ugonjwa ndani wadudu walikuwemo kwanza aliyepeleka vipimo pengine ana corona nani alimpima kabla?Ndiyo vinafanya kazi! Si vimetuambia papai lina korona!! Ila havifanyi kazi iliyotegemewa!! Vinafanya kazi ya kupotosha!