#COVID19 CDC imeshauri watu kuachana na chanjo ya J&J kwani inasababisha kuganda kwa damu kwenye ubongo, watumie Moderna ama Pfizer

#COVID19 CDC imeshauri watu kuachana na chanjo ya J&J kwani inasababisha kuganda kwa damu kwenye ubongo, watumie Moderna ama Pfizer

Utafiti gani wewe mtanzania wa mabwepande umefanya,hata kutengeneza barakoa umeshindwa Leo hii ujifanye mtaalamu wa kuchunguza vilivyotenezwa na mabeberu,

Huku kijijini kwangu hivi karibuni Kuna mwalimu kastaafu na kupewa mafao yake,ili ayale vizuri akaenda kuchanja J&J,Leo hii warithi wake wanayafaidi huku yeye tumesha mwimbia barapanda litalia

Endelea na utafiti wako
Pole kwa wafiwa, huenda alikuwa ana matatizo mengine sio chanjo
 
S
Wewe subiri ,sijui sayansi Wala kienyeji utazijua Mara baada ya kuanza kuona madhara ya hizi chanjo,my friend naona hofu imekujaa sana
Sina hofu kabisa, hapa nasubiri wakisema tuongeze booster nitakwenda haraka sana maana sina wasiwasi kabisa
 
S

Sina hofu kabisa, hapa nasubiri wakisema tuongeze booster nitakwenda haraka sana maana sina wasiwasi kabisa
Basi kaa hivyo hivyo,Haina haja ya kulazimisha Wala kushinikiza watu wachanje,wewe ukichanja tulia Haina haja ya sisi kujua
 
Mkuu ni mentality tu. Ukifuatilia hata hapa bongo watu waliokufa ndani ya wiki 1 au 2 baada ya kupewa chanjo %kubwa ni wazee na hii ni karibu dunia nzima. Kumbuka chanjo ni virusi vilivyopunguzwa nguvu + mengine tusiyoyajua. Ukitaka kuamini angalia wazee wa uswahilini na hali ya chini karibu nchi nzima, hawajachanjwa,hawavai barakoa na wanadunda ila linganisha na wazee wasomi wasomi walivyopukutishwa na COVID na chanjo zenyewe sababu ya kujifanya wanawasikiliza sana hao WHO.
Mkuu nafikiri pia life style nayo inachangia, wa maofisini wanaishi soft life pamoja na lishe lot of burgers and pizzas ni shidaaaa !!
 
Debate; je tunakubaliana kuwa ( at least) Covid 19 is a real?? Au its an 'imagination'?
  • Tunalalamika mabeberu, wachina n.k as in origins BUT what is the fact?
  • miaka nenda nyuma, wabeberu waligundua maradhi mengi lakini walipata matibabu? Mfano ni AIDS ? Je, tukisema kuwa hiyo pia ni uwongo? Leo kuna waathirika wengi lakini waendelea kuishi kwa kutumia madawa ya hawa 'wabeberu'?

My point is there is and will never be a 100% solution towards any medical treatment! Each day and minute kuna maradhi mapya zinazotokea ila sisi wote tuna 'options' zipi'?

Common sense says take precautions as to what you have in hand or wait for the worse to overcome you??
 
In due time,utaelewa maana ya rare cases!
Yaani 1 ina a thousand kwenye utabibu ni success!
Lakini lazima upewe Hilo angalizo,just inacase....
Ndiyo nikauliza,hiyo 1 ikiwa ni rais wa nchi.

Huoni siyo rare tena?
 
Back
Top Bottom