GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Na nakuomba CDF Jenerali Mkunda kama Waombaji Ajira Wote katika Tangazo lenu wakiyashindwa haya Mazoezi yafuatayo muachane nao na mbaki na wale tu Watakaoweza ( walio Fiti ) kabisa
1. Wakimbie kwa Kuuzunguka Uwanja wa Mkapa mara 75 kwa Spidi kama za Winga teleza wa Yanga SC Tuisila Kisinda.
2. Wao kwa Wao wazichape / wapigane Kavukavu na atakayempiga Mwenzake ndiyo achukuliwe.
3. Kila Mmoja apewe Chombo cha Chuma kilichowekwa Chakula cha Moto sana na wakile huku wakiwa Wamekishikilia na Wakitabasamu na siyo Kununa.
4. Kila Mmoja alazimishwe Kudidisha Mkuyenge / Mkurudungu wake tena Kiukakamavu ili kupima Urijali wao na msije mka recruit Askari Shoga kama ilivyokuwa kwa Marehemu Afande Mmoja namhifadhi Jina Kimaadili ( aliyekufa Kimaajabu Maajabu ) wa Lugalo Kambini ( kabla ya Kujengwa kwa haya Maghorofa ) na Mlango Mdogo Kawe.
5. Kila Muombaji aseme ana Kipaji gani na kama anaweza Kukionyesha kwa Vitendo afanye hivyo ili Jeshi letu liwe na Vipaji vingi na Kuongeza Ubunifu Jeshini.
6. Wakija kuanzia Saa Mbili Asubuhi kwa Usahili msiwape Chakula na muwaambie hakuna Kula chochote au hata Kunywa Maji hadi Jioni Saa 12 ili Kupima Uvumilivu Wao.
7. Tegesheni mahala tofauti tofauti Pesa ( hasa Shilingi Elfu Kumi Kumi ) na Bange / Bangi ili kujua kama kuna Vijana Wezi na Wavuta Bangi miongoni mwao na Muwaepuke / Muachane nao upesi.
au ikiwezekana Siku hiyo ya Kuwadahili Hawa Vijana Wenu Waomba Ajira zenu Mpya zilizotangazwa Juzi / Jana mnialike GENTAMYCINE nije niwafanyie Mambo yote haya Saba ( 7 ) niliyoyaandika hapa ili nilikabidhi Jeshi letu Tukuka na Mahiri la JWTZ Vijana Wanaostahili kweli na siyo wa Michongo na Kubabaisha.
1. Wakimbie kwa Kuuzunguka Uwanja wa Mkapa mara 75 kwa Spidi kama za Winga teleza wa Yanga SC Tuisila Kisinda.
2. Wao kwa Wao wazichape / wapigane Kavukavu na atakayempiga Mwenzake ndiyo achukuliwe.
3. Kila Mmoja apewe Chombo cha Chuma kilichowekwa Chakula cha Moto sana na wakile huku wakiwa Wamekishikilia na Wakitabasamu na siyo Kununa.
4. Kila Mmoja alazimishwe Kudidisha Mkuyenge / Mkurudungu wake tena Kiukakamavu ili kupima Urijali wao na msije mka recruit Askari Shoga kama ilivyokuwa kwa Marehemu Afande Mmoja namhifadhi Jina Kimaadili ( aliyekufa Kimaajabu Maajabu ) wa Lugalo Kambini ( kabla ya Kujengwa kwa haya Maghorofa ) na Mlango Mdogo Kawe.
5. Kila Muombaji aseme ana Kipaji gani na kama anaweza Kukionyesha kwa Vitendo afanye hivyo ili Jeshi letu liwe na Vipaji vingi na Kuongeza Ubunifu Jeshini.
6. Wakija kuanzia Saa Mbili Asubuhi kwa Usahili msiwape Chakula na muwaambie hakuna Kula chochote au hata Kunywa Maji hadi Jioni Saa 12 ili Kupima Uvumilivu Wao.
7. Tegesheni mahala tofauti tofauti Pesa ( hasa Shilingi Elfu Kumi Kumi ) na Bange / Bangi ili kujua kama kuna Vijana Wezi na Wavuta Bangi miongoni mwao na Muwaepuke / Muachane nao upesi.
au ikiwezekana Siku hiyo ya Kuwadahili Hawa Vijana Wenu Waomba Ajira zenu Mpya zilizotangazwa Juzi / Jana mnialike GENTAMYCINE nije niwafanyie Mambo yote haya Saba ( 7 ) niliyoyaandika hapa ili nilikabidhi Jeshi letu Tukuka na Mahiri la JWTZ Vijana Wanaostahili kweli na siyo wa Michongo na Kubabaisha.