mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Mikanganyiko 😅🙏Alafu cdf akawaambia katiba iko wazi kisha wote wakaifuata..
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mikanganyiko 😅🙏Alafu cdf akawaambia katiba iko wazi kisha wote wakaifuata..
.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Mi ningejinyonga siwezi ongozwa na Mutu mufupi[emoji1787]
Wana inferiority complex[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Hapana, Rais SSH siyo Muungwana. Laiti angalikuwa, kitu cha kwanza ilikuwa kuziba mianya ili uhuni usitokee tena.All in all pamoja na kuwa na CDF aliyenyooka, vilevile tumepata Rais muungwana sana.
Waliyoyafanya akina Bashiru Ally, Ndugai na Majaliwa Kassim Majaliwa kutaka kupora u-Rais wa Samia ni uhaini kwenye macho ya sheria.
Lakini Samia bado anafanya kazi na Majaliwa Majaliwa na bado amewaacha Bashiru Ally na Ndugai kama wabunge
Mabeyo katukosea sana watanganyika basi tuGen Venance Mabeyo akiwa na viongozi waandamizi wa Ulinzi na Usalama
Nimesikiliza clip ya mahojiano ya Mstaafu CDF Gen Venance Mabeyo na mwandishi wa habari wa gazeti la serikali, Daily News.
Udhubutu wa kuyaweka mambo wazi ni kipaji na ujasiri ambapo nampongeza kwa dhati Gen Mabeyo kwa hilo.
Mambo mengi imekuwa utamaduni kuyafutika futika na hivyo ukweli kutojulikana.
Kwa dhamira njema kabisa, Gen Mabeyo amethibitisha kuliweka mbele Taifa kama kiapo chake kinavyomtaka, kulinda Katiba.
Huu ni ujasiri usio kawaida, maana kwa watu walafi wangeweka maslahi yao mbele kuliko matakwa ya Taifa na Katiba.
Tunaona umuhimu wa viongozi waadilifu, ambao siku hizi ni wachache.
Mungu akulinde Gen. Venance Mabeyo.