CDF Mstaafu Mabeyo ametaka kufikisha ujumbe. Je, wananchi tumeuelewa ujumbe?

Hapana, Rais SSH siyo Muungwana. Laiti angalikuwa, kitu cha kwanza ilikuwa kuziba mianya ili uhuni usitokee tena.
Alipaswa kukaa kitako na Wananchi kusuka katiba, hakutaka! alichosema 'anajenga uchumi'

Pili, kuwaacha akina Bush, Jobs na Lucky ni kutekeleza ''impunity'' SSH akitegema 'quid pro quo'.
Muungwana haweza kuacha uovu na waouvu watamalaki kwasababu tu akiwapa vyeo watatulia! hapana

JokaKuu
 
Mabeyo katukosea sana watanganyika basi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…