Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Mchakato wa uchaguzi, bajeti ya uchaguzi, bajeti ya mazishi, kipi kingeanza mazishi au uchaguzi?CDF alitukosea heshima sn tulipaswa kufanya uchaguzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchakato wa uchaguzi, bajeti ya uchaguzi, bajeti ya mazishi, kipi kingeanza mazishi au uchaguzi?CDF alitukosea heshima sn tulipaswa kufanya uchaguzi
Huyo ndugu yake Ray C huwa ananishangaza sana anavyoongoza.Chalamila kila siku ni mwendo wa Vimbwanga sijui ana masters ya stress management 😄 ukimsikiliza tu lazima ucheke
Kwani kulikuwa na haraka gani?Mchakato wa uchaguzi, bajeti ya uchaguzi, bajeti ya mazishi, kipi kingeanza mazishi au uchaguzi?
Maza akiamka anatamka tu na hakuna wa kuhoji, katiba mbovu snUmemjibu vizuri ,kuna siku tutakua na naibu Makamu wa Rais
Mwambie pia..ule unafiki alioshiriki kuwafanyia watanzania bado hajatubu, bado anao muda kuutubu wananchi wamsamehe! asipofanya angali hai mwambie pale safari yake itaishia..View attachment 2937945
Gen Venance Mabeyo akiwa na viongozi waandamizi wa Ulinzi na Usalama
Nimesikiliza clip ya mahojiano ya Mstaafu CDF Gen Venance Mabeyo na mwandishi wa habari wa gazeti la serikali, Daily News.
Udhubutu wa kuyaweka mambo wazi ni kipaji na ujasiri ambapo nampongeza kwa dhati Gen Mabeyo kwa hilo.
Mambo mengi imekuwa utamaduni kuyafutika futika na hivyo ukweli kutojulikana.
Kwa dhamira njema kabisa, Gen Mabeyo amethibitisha kuliweka mbele Taifa kama kiapo chake kinavyomtaka, kulinda Katiba.
Huu ni ujasiri usio kawaida, maana kwa watu walafi wangeweka maslahi yao mbele kuliko matakwa ya Taifa na Katiba.
Tunaona umuhimu wa viongozi waadilifu, ambao siku hizi ni wachache.
Mungu akulinde Gen Mabeyo.
Huoni mateso wanayopitia watanzania?Maslahi gani?
Onyesha hicho kifunguKatiba inamruhusu Rais kuunda nafasi ambayo anadhani inaweza kumuongezea tija. Hilo liko wazi
Afya ya mweshimiwa ilikuwa kwenye hatima ya vyombo vya ulinzi na usalama na sio mtu yyte mwingine , vipi hv vyombo vilikuwa vinamfikriaje ??? Nouma SanaBaadhi ya mambo ameongea,ameongeza ukakasi.........
Hakuna haraka. Uchaguzi 2025.Kwani kulikuwa na haraka gani?
Unafiki upi?Mwambie pia..ule unafiki alioshiriki kuwafanyia watanzania bado hajatubu, bado anao muda kuutubu wananchi wamsamehe! asipofanya angali hai mwambie pale safari yake itaishia..
Siyo lazima uchangie kila uzi mkuu jifunze kunyamazaHakuna haraka. Uchaguzi 2025.
Mara ngapi unataka? taifa ni masikini sababu ya vitu kama hiviKuna kitu nimejifunza, mfano unaposajili anwani katika internet hutaka uweke password, unapo weka password mara nyingine inakataa kwa vile password uliweka ni nyepesi, hivyo hutaka strong password.
Hivyo kwenye katiba yetu kuna vitu vya umuhimu vimewekwa ila vinachukuliwa kwa wepesi sana.
Inapotokea nafasi ya kuchagua au kuteua unateua kwa kuangalia vionjo fulani fulani hivi!
Anateuliwa mtu kwa vile ni mwanamke!
Anateuliwa mtu kwa vile ni Mzanzibari!
Anateuliwa mtu kwa vile mmesoma nae au baba yake ni rafiki yako.
Anateuliwa mtu kwa vionjo na si kwa weledi!
Kuna wakati inaweza kugharimu.
Mtu yuko hoi ICU, na wewe utamfikiriaje?Afya ya mweshimiwa ilikuwa kwenye hatima ya vyombo vya ulinzi na usalama na sio mtu yyte mwingine , vipi hv vyombo vilikuwa vinamfikriaje ??? Nouma Sana
Kwasababu hujapenda jibu nililotoa? Ndo uhalisia.Siyo lazima uchangie kila uzi mkuu jifunze kunyamaza
Bibi netanyahu, Samia asingeshika madaraka ingekua dhihaka kubwa sana kwa nchi, kama watu wanaona ni shida waongeze nguvu kwenye kudai katiba mpya, na katiba hiyo pia ipunguze nguvu nyingi ya raisiCDF alitukosea heshima sn tulipaswa kufanya uchaguzi
Alikosa shukrani kwa kweliNakumbuka huyu Rais wa sasa alisema katiba ni kijitabu tu
Umenikumbusha akina Tamimu na Hans Pope 😂😂😂🔥CDF hakuwa na uroho wa madaraka,ingekuwa West africa huko
Mkuu wa majeshi ashafanya yake
😄
Ova