CDF Mstaafu Mabeyo ametaka kufikisha ujumbe. Je, wananchi tumeuelewa ujumbe?

Mwambie pia..ule unafiki alioshiriki kuwafanyia watanzania bado hajatubu, bado anao muda kuutubu wananchi wamsamehe! asipofanya angali hai mwambie pale safari yake itaishia..
 
Kuna kitu nimejifunza, mfano unaposajili anwani katika internet hutaka uweke password, unapo weka password mara nyingine inakataa kwa vile password uliweka ni nyepesi, hivyo hutaka strong password.

Hivyo kwenye katiba yetu kuna vitu vya umuhimu vimewekwa ila vinachukuliwa kwa wepesi sana.

Inapotokea nafasi ya kuchagua au kuteua unateua kwa kuangalia vionjo fulani fulani hivi!
Anateuliwa mtu kwa vile ni mwanamke!
Anateuliwa mtu kwa vile ni Mzanzibari!
Anateuliwa mtu kwa vile mmesoma nae au baba yake ni rafiki yako.
Anateuliwa mtu kwa vionjo na si kwa weledi!

Kuna wakati inaweza kugharimu.
 
Mara ngapi unataka? taifa ni masikini sababu ya vitu kama hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…