Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Pengine mmesahau, hii sera ya kufunga mipaka ambayo Bashe anaitekeleza ni sera ya CDM. Wakati wa uchaguzi wa 2020 Salumu Mwalimu kila alikokwenda alisema kuwa CDM ikishika madaraka wananchi watauza mazao yao kokote kule, ilimradi tu wamelipa kodi ya serikali. Ilikuwa sera moja bora sana.
Sasa Bashe na serikali ya CCM waliona sera hiyo ni mtaji mkubwa sana kwa wakulima wa Tanzania ambao ni zaidi ya 60 percent. wameichukua na wanaitelekeza. Sera hiyo lazima ilete ongezeko la bei ya chakula na ongezeko la bei ya chakula na mfumuko wa bei wa wastani si kitu kibaya.
Ni kitu muhimu sana katika kuchochea uchumi. Kwa hiyo hii sera ya kuacha mipaka wazi si tu ya kujipatia umaarufu kwa wakulima, ni sera sahihi kwa uchumi.
Sasa ni vyema CDM mkawa na sera ya kupunguza bei ya chakula bila ya kupinga hii sera, mkipinga hii sera ya kuuza mazao nje mtapoteana sana.
Sasa Bashe na serikali ya CCM waliona sera hiyo ni mtaji mkubwa sana kwa wakulima wa Tanzania ambao ni zaidi ya 60 percent. wameichukua na wanaitelekeza. Sera hiyo lazima ilete ongezeko la bei ya chakula na ongezeko la bei ya chakula na mfumuko wa bei wa wastani si kitu kibaya.
Ni kitu muhimu sana katika kuchochea uchumi. Kwa hiyo hii sera ya kuacha mipaka wazi si tu ya kujipatia umaarufu kwa wakulima, ni sera sahihi kwa uchumi.
Sasa ni vyema CDM mkawa na sera ya kupunguza bei ya chakula bila ya kupinga hii sera, mkipinga hii sera ya kuuza mazao nje mtapoteana sana.