MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Sasa ndiyo tutaheshimiana Mjini hapa kwani Goal Scoring Machine inatua rasmi Simba SC.
Kuna Uwezekano mkubwa Victor Agban ndiyo akaachwa na Simba SC kwani Kocha hajamkubali japo Viongozi wa Simba SC wao wanataka Mzungu wa Kocha Mshambuliaji Dejan Georgeviovich ndiyo aachwe.
Ikitokea Wawili hawa Mmoja wapo hatoachwa ili Kumpisha Manzoki basi kuna Uwezekano pia Saido Kanoute akauzwa Afrika Kusini au tayari Deal la Pape Ousmane Sakho kwenda Klabu Kubwa Afrika au Ulaya zilizomtaka likawa limekamilika.
Kesho ni furaha tupu. Karibu Tanzania na Karibu Simba SC Ceaser Lobi Manzoki.
Mnaoeneza Propaganda kuwa mmemchukua nye endeleeni tu Kujidanganya na Kuwadanganya Mashabiki wenu
Imeisha hiyo Kudadadeki.
Kuna Uwezekano mkubwa Victor Agban ndiyo akaachwa na Simba SC kwani Kocha hajamkubali japo Viongozi wa Simba SC wao wanataka Mzungu wa Kocha Mshambuliaji Dejan Georgeviovich ndiyo aachwe.
Ikitokea Wawili hawa Mmoja wapo hatoachwa ili Kumpisha Manzoki basi kuna Uwezekano pia Saido Kanoute akauzwa Afrika Kusini au tayari Deal la Pape Ousmane Sakho kwenda Klabu Kubwa Afrika au Ulaya zilizomtaka likawa limekamilika.
Kesho ni furaha tupu. Karibu Tanzania na Karibu Simba SC Ceaser Lobi Manzoki.
Mnaoeneza Propaganda kuwa mmemchukua nye endeleeni tu Kujidanganya na Kuwadanganya Mashabiki wenu
Imeisha hiyo Kudadadeki.