SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Unamtafutia mtu ban kwa nguvu. Shindwa!!!Hajataka kupumzika na wewe hapo Hotelini bi BARBARA???
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamtafutia mtu ban kwa nguvu. Shindwa!!!Hajataka kupumzika na wewe hapo Hotelini bi BARBARA???
Mkatae huyo wakiguswa kidogo wanakimbilia kushtaki kwa mods na mods nao wanawatii kweli hawa kimaIpi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hajataka kupumzika na wewe hapo Hotelini bi BARBARA???
Huwa kuna penalt unapigwa ukipeleka kwa kuchelewa...mwsho ni tarehe 31 Aug...ila hakuna ukwl wwte kuhusu hilo......hatuwez kumsajili labda yanga maana ndo angalau boss wao anatka kufanya team iwe kubwa kwa hapa EA..ila huyu mpare wetu Mo hana mpango na simba tenaDirisha la CAF si limefungwa tokea tarehe 15 mwezi huu?
Hahahaa umetoka kifungoniMkatae huyo wakiguswa kidogo wanakimbilia kushtaki kwa mods na mods nao wanawatii kweli hawa kima
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Yamekuwa hayo si mlisema simba haina pesa ya kusajiliSimba sajiri zenu hazijatulia tatizo mnasajiri kwa mihemuko
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Nimetoka mkuu, mods wananionea sana hata kirago changu nimekiweka sehemu najua watanirudisha tu,ila Mungu anawaona kwa uonevu huu.Hahahaa umetoka kifungoni
VICTOR AKPAN AIONE KWENYE FILESimba sajiri zenu hazijatulia tatizo mnasajiri kwa mihemuko
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3]Hahahaa umetoka kifungoni
nakuona mtani katika umerudi katk ubora wako!Sasa ndiyo tutaheshimiana Mjini hapa kwani Goal Scoring Machine inatua rasmi Simba SC.
Kuna Uwezekano mkubwa Victor Agban ndiyo akaachwa na Simba SC kwani Kocha hajamkubali japo Viongozi wa Simba SC wao wanataka Mzungu wa Kocha Mshambuliaji Dejan Georgeviovich ndiyo aachwe.
Ikitokea Wawili hawa Mmoja wapo hatoachwa ili Kumpisha Manzoki basi kuna Uwezekano pia Saido Kanoute akauzwa Afrika Kusini au tayari Deal la Pape Ousmane Sakho kwenda Klabu Kubwa Afrika au Ulaya zilizomtaka likawa limekamilika.
Kesho ni furaha tupu. Karibu Tanzania na Karibu Simba SC Ceaser Lobi Manzoki.
Mnaoeneza Propaganda kuwa mmemchukua nye endeleeni tu Kujidanganya na Kuwadanganya Mashabiki wenu
Imeisha hiyo Kudadadeki.
Itakuwa jambo jema sana tutafurahinjaakalihatari njoo huku kuna ujumbe wako kutoka kwa Babra
1041 EA TIMESasa ndiyo tutaheshimiana Mjini hapa kwani Goal Scoring Machine inatua rasmi Simba SC.
Kuna Uwezekano mkubwa Victor Agban ndiyo akaachwa na Simba SC kwani Kocha hajamkubali japo Viongozi wa Simba SC wao wanataka Mzungu wa Kocha Mshambuliaji Dejan Georgeviovich ndiyo aachwe.
Ikitokea Wawili hawa Mmoja wapo hatoachwa ili Kumpisha Manzoki basi kuna Uwezekano pia Saido Kanoute akauzwa Afrika Kusini au tayari Deal la Pape Ousmane Sakho kwenda Klabu Kubwa Afrika au Ulaya zilizomtaka likawa limekamilika.
Kesho ni furaha tupu. Karibu Tanzania na Karibu Simba SC Ceaser Lobi Manzoki.
Mnaoeneza Propaganda kuwa mmemchukua nye endeleeni tu Kujidanganya na Kuwadanganya Mashabiki wenu
Imeisha hiyo Kudadadeki.
Wapi!?1041 EA TIME
0941 SA TIME
Bado dk 19 atangazwe, akitangazwa mniite MBWA nimekaa pale
Unaweza kupeleka Jina kwa faini nadhani.Dirisha la CAF si limefungwa tokea tarehe 15 mwezi huu?
Huyo POPOMA KASEMA MANZOK ATATAMBULISHWA LEO SAA 5 ASUBUHI?Wapi!?