Ceaser Lobi Manzoki ni Simba SC atatambulishwa rasmi Kesho Saa 5 Asubuh

Ceaser Lobi Manzoki ni Simba SC atatambulishwa rasmi Kesho Saa 5 Asubuh

Msemaji wa klabu Ahmed Ally amesema Simba imeachana na manzoki kwa sababu inshu zake haziko "clear" sasa nyinyi mnaosema "anakuja" ni kina nani, kimsingi akija Simba tutaonekana Kuna ombwe kwenye uongozi, kitu ambacho mm sikiamini.
 
Msemaji wa klabu Ahmed Ally amesema Simba imeachana na manzoki kwa sababu inshu zake haziko "clear" sasa nyinyi mnaosema "anakuja" ni kina nani, kimsingi akija Simba tutaonekana Kuna ombwe kwenye uongozi, kitu ambacho mm sikiamini.
Huyu hapa msemaji rasmi wa klabu akinukuliwa na vyombo rasmi vya habari.
FB_IMG_1660926995638.jpg
 
Huyu hapa msemaji rasmi wa klabu akinukuliwa na vyombo rasmi vya habari.View attachment 2328779
Mbona kuna wachezaji wengi wenye ubora zaidi ya huyu Cesar, hizi Scouting sijui zinafanya kazi gani!? Yaani Simba au Yanga wavunje mkataba kwa USD laki 3 kwa mchezaji alibakisha miezi miwili mkataba uishe, itakua hizi timu zina viongozi vichaa!
 
Msemaji wa klabu Ahmed Ally amesema Simba imeachana na manzoki kwa sababu inshu zake haziko "clear" sasa nyinyi mnaosema "anakuja" ni kina nani, kimsingi akija Simba tutaonekana Kuna ombwe kwenye uongozi, kitu ambacho mm sikiamini.
Hii ndio Tanzania viongozi huwa ni kigeugeu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naona utopolo wanaweza kumchukua mchezaji mwingine toka Ug.

Tweet ya Barbra inanionesha dalili Manzoki will be RED...

Let's wait and see.
Leo nmeona amepost Simba na sakho akakoment kumkalibisha
 
Msemaji wa klabu Ahmed Ally amesema Simba imeachana na manzoki kwa sababu inshu zake haziko "clear" sasa nyinyi mnaosema "anakuja" ni kina nani, kimsingi akija Simba tutaonekana Kuna ombwe kwenye uongozi, kitu ambacho mm sikiamini.
Ikiwa hivyo tutaita mind game
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nyie Simba hata Kesho muombe mechi na Yanga tuta wachapa tu. Afu awamu hii nenda pole.. usije kula ban nyingine kiongozi.
 
...ila hakuna ukwl wwte kuhusu hilo......hatuwez kumsajili labda yanga maana ndo angalau boss wao anatka kufanya team iwe kubwa kwa hapa EA..ila huyu mpare wetu Mo hana mpango na simba tena

Kutoka kwenye uponjoro Mo amekuwa Mpare.
Au sio kabila ni sifa?.
Kama ni hivyo basi inaonyesha dhahiri muwekezaji wenu mumemchoka.
 
Back
Top Bottom