Duh! Malapa wanatulaza na viatu leo!Full time Simba 0 : Yanga 1
Yako wapi sasa?............................
Tumebebwa na leo???????????????????????????????????????????????
hongera mtani.Mtani Ivuga upoooo nilikwambia usikimbie sasa sikusikii tena YANGA HOYEEEEEEEEEEEEEEEEEE
Hongera Yanga..... Balantanda na ma fans wote wa yanga hongereni sana.
AH Nurdin Bakari kaupiga leo si mchezo Yanga swaaafi mnoooooooSafi sana Berko,safi sana Asamoah,safi sana Gumbo,safi sana Nurudin Bakari
ahsante mkuuhongera mtani.