Ya tatu someone to be raped hapo uwanjani!
Alichukua akiwa na SC Villa na Polisi(za Uganda) pamoja na Atraco ya Rwanda na leo kachukua akiwa na YangaMkuu hebu nipe kwanza hizo club zingine alizofundisha huyu kocha......maana anaonekana ni mzuri sana
Umeona eeeeh?Bora hata babu Dalali angekuwepo! Ngoja tumsaidie afanye paper ya form four apate cheti, tuangushe uongozi wa Rage, tufanye uchaguzi Hassan Dalali arudi kuongoza.SIMBA tusitafute mchawi.....Viongozi wetu ni MAGAMBA, hatukuwa na sababu ya kumwondoa PATRICK PHIRI katika BENCHI LA UFUNDI!
We need not to blame anyone on today's: Simba plays well all the time.SIMBA tusitafute mchawi.....Viongozi wetu ni MAGAMBA, hatukuwa na sababu ya kumwondoa PATRICK PHIRI katika BENCHI LA UFUNDI!
Tena huenda leo na giza hili, subiri kesho taarifa!Ya tatu someone to be raped hapo uwanjani!
Pole sana najua utalala mapema lakini utachelewa kupata usingizi,nilikwambia huyu Sam Timbe ana kizizi na hili kombeUsiishi kwa historia
Yanga bingwa, yaliyobaki nafikiri si ya kimichezo tuyahamishie kwenye siasa au mambo mengineyo. Tunasherehekea ushindi kwanza haya yaliyojitokeza ni ya aina yake yanafaa kufunguliwa thread kuleeeeee!
waziri nggggggjjjjjjjjjj, mkurugenzi wa tanesco na sijui nani vileeee, nimemsahau.....wakati wimbo wa taifa ulipogoma kuimba walimuwajibisha msemaji wa tff this time sijui watamuwajibisha nani
Hakuna atakayetimuliwa!View attachment 33662dah haya mambo mgawo sijui watamtimua nani safari hii