Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
kuna mtangazaji mmoja wa star tv anawaponda sana wachezaji wa kibongo alimponda sana mrope kwamba pasi zake za mwisho hazina tija anafanya kazi kuubwa lkn pasi ya mwisho inakuwa fyongo hahaaa akamponda sana mwape hana control tehe tehe awe makini atapata kichapoooo
Ni tamaa zilizojengeka miyoni mwa wachezaji na viongozi wa club husika.Hivi kwa nini kila wakati wa usajili kunakuwa na magumashi?
Etieee!! Kama kweli ndivyo ilivyo basi Yanga watanusulika, lkn kuna aja ya Viongozi kujitokeza kwenye media ili kukanusha shutuma zilizotolewa na viongozi wa Ruvu Shooting kupitia media pia kwani zilikuwa nzito.Kungekuwa kuna tatizo katika usajili sidhani kama TFF na CECAFA wangempa kibali/kadi ya kushiriki Kagame cup....Tatizo ni mawasiliano miongoni mwa viongozi wa Ruvu shooting stars........Na inasemekana kuna viongozi wa Ruvu wanataka kulipwa cash ilhali Yanga wanataka kuwalipa kwa hundi......Kama kungekuwa na tatizo nadhani hata Yanga nao wangesita kumchezesha leo......
Etieee!! Kama kweli ndivyo ilivyo basi Yanga watanusulika, lkn kuna aja ya Viongozi kujitokeza kwenye media ili kukanusha shutuma zilizotolewa na viongozi wa Ruvu Shooting kupitia media pia kwani zilikuwa nzito.
Siku niliposikia Nurdin Bakari kaenda yanga nilichukia sana sijui simba walimwacha kwa kosa gani...Nurdin ni kifaa hasa na anauwezo wa kucheza namba nyingi tu yaani 2,3,6,8,11 tofauti na wachezaji wengi wa kitanzania..Nurdin Bakari ni kifaa aisee.........
Muunganiko wake na Rashid Gumbo pale kwenye kiungo unatia raha..............
Madai ya Ruvu ni kama yaliyo jitokeza kwa Africa Lyon zidi ya simba wakidai Samatta ni mchezaji wa kwao badala ya kudai pesa yao...Kimsingi Ruvu wana dai pesa zao na pesa siyo tatizo kwa maelezo ya kiongozi wa yanga kuwa Ruvu wanataka cash wakati yanga wanataka kuwalipa kwa hundi..Jana Makamu mwenyekiti wa kamati ya usajili ya Yanga Seif Ahmed ameeleza vizuri tu na kusema kwamba hakuna tatizo lolote na tayari wamemalizana na Ruvu shooting
Kwa mchezo huu wa kutolewa jasho na Eiman, Yanga wasitegemee kufika mbali.
Ulinzi imetoa fundisho 9-1:Matokeo ya Morogoro:Ulinzi Stars 9:1 Port (Full Time)St.George 1:1 APR (Mechi inaendelea)
Kwa mchezo huu wa kutolewa jasho na Eiman, Yanga wasitegemee kufika mbali.
Wanakosa magoli ya kijinga kabisa.......Yanga nafasi hizi watakuja kuzijutia!
Sijui wamekumbwa na nini...Yanga hawaelewani time hii.............
Wamekosa jingine..Wanakosa magoli ya kijinga kabisa.......