CECAFA KAGAME CUP 2011 Finals in Tanzania


Ahsante mkuu hiyo ya Vital'o sihiitaji sana kwani haitanisaidia nashukuru sana endele kutupa update.All the best Simba
 
Kipindi cha pili kimeanza, bado ni bila bila.
 
Simba wanaonekana wana uhai kipindi hiki japo umaliziaji haujatulia. Simba wanakosa goli la wazi hapa...
 
Kuna mchezaji wa simba kauzuia mpira uliokuwa unaelekea wavuni kwa Vital'o katika hekaheka za kufunga......simba wanakosa goli la wazi!
 
Washambuliaji wa Simba wamekosa umakini, wanafika sana golini na Kaseja yuko likizo toka kipindi cha pili kianza.
 
Simba wanakosa goli lingine la wazi. Shija Mkina kaingia kwa simba katoka Machako Salum.
 
Simba wanaonekana wana uhai kipindi hiki japo umaliziaji haujatulia. Simba wanakosa goli la wazi hapa...

Mkuu unajua nn?Simba hapo hakuna mfungaji mbele Mgosi si wa kumwamini sana bora hata Okwi angekuwepo
 
Sorry mkuu, sijaipata vizuri line up ya timu zote mbili.
Mohamed Banka(6), Juma Nyoso(4), Haruna moshi(11), Amir Mafuta(3), Derrick(5), Ulimboka Mwakingwe(7), Said Nassor(2), Mussa Hassan Mgosi(9)
 
Mohamed Banka(6), Juma Nyoso(4), Haruna moshi(11), Amir Mafuta(3), Derrick(5), Ulimboka Mwakingwe(7), Said Nassor(2), Mussa Hassan Mgosi(9)

mbona hakuna mfungaji?Sitashangaa matokeo yakibaki 0-0
 
Kwa ujumla simba wanashambulia lakini hakuna umaliziaji mzuri. Hivi sasa Vital'o wanaokoa tu.
 
mbona hakuna mfungaji?Sitashangaa matokeo yakibaki 0-0
simba beki naona imekamilika watafute mfungaji maana idara zote yaani kipa beki na kiungo ikosafi kwa sasa bado wafungaji hatuna maana mgosi anakosa kumi ana pata moja...naona mgosi ametoka anaingia Rajabu Isiaka huyu ametokea African Lyon
 
simba beki naona imekamilika watafute mfungaji maana idara zote yaani kipa beki na kiungo ikosafi kwa sasa bado wafungaji hatuna maana mgosi anakosa kumi ana pata moja...naona mgosi ametoka anaingia Rajabu Isiaka huyu ametokea African Lyon
Huyo Isihaka ni mfungaji? Au nae ni kama Mgosi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…