CECAFA KAGAME CUP 2011 Finals in Tanzania

CECAFA KAGAME CUP 2011 Finals in Tanzania

Kwa ujumla simba wanashambulia lakini hakuna umaliziaji mzuri. Hivi sasa Vital'o wanaokoa tu.
Hatuna mfungaji Mgosi asili yake ni kiungo wa pembeni hata Okwi nae si mfungaji ni kiungo wa pembeni tuna hitaji watu kama Tegete...
 
Vital'o wanalinda sana goli, lakini Simba wanashindwa kutumia nafasi wanazopata!
 
Mafisango ni hucheza nafasi 3,4,5,6,8 hivyo anaweza kucheza namba ya Banka

Samahani mm sio kocha ila kwa ufahamu wangu mdogo wa soka ningetegemea aingie hata chuji kidogo anaweza kupush timu mbele kwa kipindi hiki ambacho simba wanahitaji ushindi zaidi
 
Samahani mm sio kocha ila kwa ufahamu wangu mdogo wa soka ningetegemea aingie hata chuji kidogo anaweza kupush timu mbele kwa kipindi hiki ambacho simba wanahitaji ushindi zaidi
Hata mimi siyo kocha lakini tatizo siyo mpira kwenda mbele mpira unaenda mbele tatizo ni umalizia au mipango ya umaliziaji...
 
Hata mimi siyo kocha lakini tatizo siyo mpira kwenda mbele mpira unaenda mbele tatizo ni umalizia au mipango ya umaliziaji...

ok nimekuelewa mkuu kumbe Simba wanashambulia sana ila tatizo liko kwenye umaliziaji.Vp mambo yanaendeleaje endeleeni kutujuza
 
Kwa hiyo kundi hili wanaongoza Wazanzibar!
 
Mpira umemalizika 0-0...

Thanks a lot wakuu MSK n KTV kwa kutujuza yaliyojiri sio mbaya Simba wajipange na game inayokuja let us wait tommorrow Yanga nao watavuna nn.All the best Yanga,Simba na Zanz. O.V tujitahidi kombe libaki home
 
ok nimekuelewa mkuu kumbe Simba wanashambulia sana ila tatizo liko kwenye umaliziaji.Vp mambo yanaendeleaje endeleeni kutujuza
Kweli mkuu hata juzi kule DRC tulikuwa tuna shambulia sana tu lakini kufunga ndiyo tatizo...
 
ok nimekuelewa mkuu kumbe Simba wanashambulia sana ila tatizo liko kwenye umaliziaji.Vp mambo yanaendeleaje endeleeni kutujuza
Mpira umemalizika, simba inabidi watengeneze kikosi hasa safu ya ushambuliaji!
 
Baada ya nusus tutavijali live soccer kombe la CECAFA kati ya Vijana wa Yanga na wa El Mereikh ya Sudani.
 
Back
Top Bottom