Mgosi tulishamzoea!Mgossi naye kazi hana anapoteza nafasi za wazi, inabidi Machaku achukue nafasi
presha aisee!!simba kwa uoga . . . Katavi, crashwise, ivuga njooni banajiaminini jamanihahahahahah haha aha haha ha
Yeye badala ya kutafuta mpira anakaa nyuma ya adui akisubili wa kubahatisha, anatukwaza kwakweli!Mgosi tulishamzoea!
Simba bado hawajatulia vizuri..
hahahahaa! labda watatulia wakati wa penalt
Tukipata refa kama wa jana.................
Ahahahahaah!!Tukipata refa kama wa jana.................
Mgosi huyoLalalalalalalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Dk ya 80, bado 1-1dakika ya ngapi?