CECAFA KAGAME CUP 2011 Finals in Tanzania

kitendo cha dk 90 kuisha bila bao kinaashiria nini:-
1.Mafowadi hawako makini ktk kufunga!!
2. Mabeki wa timu zote ni wazuri!!!! au
3 Tatizo la ufungaji ni janga la ki-Afrika!!!

Lets wait and see on E.T
 
Watani naona timu yenu inajitahidi, Yanga wakicheza hivi dakika za nyongeza jpili inaweza kuwa Simba na Yanga.
 
kitendo cha dk 90 kuisha bila bao kinaashiria nini:-
1.Mafowadi hawako makini ktk kufunga!!
2. Mabeki wa timu zote ni wazuri!!!! au
3 Tatizo la ufungaji ni janga la ki-Afrika!!!

Lets wait and see on E.T
tatizo la argentina na brazil
 
Timu zote zimeanza kwa kasi kipindi hiki cha nyongeza, wanataka kumaliza kazi mapema....yanga wamefanya shambulizi hapa ila wamekosa!
 
na bado ndo kwanza picha linaanza..pole sana balantanda
 
Rashid Gumbo ndani, Tegete nje..... Mwape vipi mbona haonyeshi makeke yoyote na hatolewi?
 
Watani naona timu yenu inajitahidi, Yanga wakicheza hivi dakika za nyongeza jpili inaweza kuwa Simba na Yanga.
hawataanza kudai waongezwe mgao kweli hao na kuweka mpira kwapani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…