CECAFA KAGAME CUP 2011 Finals in Tanzania

Dah Simba sasa wanaanza kuniangusha humu SIMBA nipo peke yangu? Presha inapanda na kushuka sasa hata keyboard na type kwa kigugumizi cha vidole.
 
Butu butu sana lazima mmoja atabahatisha tu hapa
 
Mkuu sitaki kuangalia naona nitafariki dunia bure sina imani na timu yangu kabisa
Zima na laptop kabisa, maana presha itapanda kwa kusoma updates za humu zingine ni za kukatisha tamaa!
 
Simba wanafanya mabadiliko

Anatoka Shija Mkina anaingia Salum Machaku
 
Yanga Katikati na Mbele wametulia Simba Mabeki tu ndio wametulia ila wasiwasi wangu Mabeki wa Simba watakuja kuchoka na wakichoka faulu ya red card tumeumia.
 
huyu mwape baada ya kuwa mfungaji mzuri nadhani wenzake wamemtafutia kidosho wa kibongo kammaliza kabisa jamaa
 
Shija Mkina anatoka anaingia Machaku Salumu, dakika ya 75.
 
Gooooooooooooooooooooooooal

Refa kakataa....................Offside Hamis Kiiza
 
refaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Lahaula walakuwada dah roho sasa hivi ingepinda sehemu yake dah.. sio bao lile Simba tunaanza kujiumiza
 
Offside hiyo, viroho visiwadunde! Na wamezoea kubebwa na marefa, leo hakuna!
 
Simba wanafanya counter attck inakuwa ni kona

Anapiga Machaku inaokolewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…