CECAFA KAGAME CUP 2011 Finals in Tanzania

CECAFA KAGAME CUP 2011 Finals in Tanzania

hata wewe kumbe umegunduwa ndio naliona hapa yanga wanatumia maguvu ya kuruka tu pembeni ubavu usiokuwa na msingi na washika vibendera wanapepea uongo tu kibendera.
Yaani kazi kweli kweli! bora hawa wachezaji wangejitune kwamba "tunaenda kucheza soka" sasa hiyo akilini haipo kwahawa wa leo matokeo yake mpira umekaa kushoto kabisa labda mbeleni!
 
Dah wadau nimejificha na laptop yangu kwenye kabati maana presha inapanda presha inashuka na timu yangu Yebo yebo lohh endeleeni kutupa update nashukuru sana wadau
 
wachezaji wengi wenye vipaji wana opt shule zaidi huku kwenye chandimu no future. mwaka 1995-96 nikikuwa nafanya mazoezi na majimaji nanyemelea usajiri wakati wa kina Dadi athumani, amri said kelvin haule ilikuwa ni njaa tuupu asubuhi mkitoka mazoezini mnakula buku jioni buju posho hiyo. nikacheeeki nikagundua within 3yrs ningekuwa nimelosti nikachana na soka nikakimbilia kitabu.
 
Duh mshika kibendera tuooooooooooookoteeeeeeeeeeeeeeeeee duh anawabeba YANGA sasa.
 
jamani eenh tuache ushabiki mpira ushapoteza dira huu tunasubiri timu mmoja ibahatishe goli basi tujifariji kombe limebaki bongo kkn HAKUNA KIWANGO KINACHOONESHWA UWANJANI. nishachoka mie
 
Dah wadau nimejificha na laptop yangu kwenye kabati maana presha inapanda presha inashuka na timu yangu Yebo yebo lohh endeleeni kutupa update nashukuru sana wadau
Ahahahaaah!! Mkuu toka tu huko kabatini upunge upepo hapo nje!
 
jamani eenh tuache ushabiki mpira ushapoteza dira huu tunasubiri timu mmoja ibahatishe goli basi tujifariji kombe limebaki bongo kkn HAKUNA KIWANGO KINACHOONESHWA UWANJANI. nishachoka mie
Butua butua nyingi sana....
 
Back
Top Bottom