Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,153
- 2,647
Yaani kazi kweli kweli! bora hawa wachezaji wangejitune kwamba "tunaenda kucheza soka" sasa hiyo akilini haipo kwahawa wa leo matokeo yake mpira umekaa kushoto kabisa labda mbeleni!hata wewe kumbe umegunduwa ndio naliona hapa yanga wanatumia maguvu ya kuruka tu pembeni ubavu usiokuwa na msingi na washika vibendera wanapepea uongo tu kibendera.