kishoreda
Senior Member
- Nov 2, 2010
- 174
- 29
Zima na laptop kabisa, maana presha itapanda kwa kusoma updates za humu zingine ni za kukatisha tamaa!
Mechi zote za Yanga kuanzia robo fainali niliangalizia humu humu maana naona afadhali kuliko kuona live Mgosi anavyoingia kwenye 18