Zima na laptop kabisa, maana presha itapanda kwa kusoma updates za humu zingine ni za kukatisha tamaa!
Inawezekana!huyu mwape baada ya kuwa mfungaji mzuri nadhani wenzake wamemtafutia kidosho wa kibongo kammaliza kabisa jamaa
huyu mwape baada ya kuwa mfungaji mzuri nadhani wenzake wamemtafutia kidosho wa kibongo kammaliza kabisa jamaa
Hakuna mbeleko ni offside!hiloo ni golii refa amependelea dah,mbeleko live
ahahahahaah!!Yanga washapatiwa sababu...
st ivuga upooooooooo
Wamechoka tayari.....faulo kuelekea simba! Hamis Kiiza yupo chini pale.Simba kudadadadadadeki zenu wekeni mpira chini msitake nianze kutukana sasa.
Mmezoea mbelekoGoli zuri kabisa ilo bwana Pazi.Magamba tumeonewa tena!