CECAFA KAGAME CUP 2011 Finals in Tanzania

CECAFA KAGAME CUP 2011 Finals in Tanzania

Mpira umeisha.....

St.George 2:0 Vital'o

St.George wanakwenda Nusu fainali na watacheza na mshindi wa mchezo unaofuata kati ya Yanga na Red Sea
 
Tunaomba utupe kwanza kikosi kinachoanza

Kikosi cha Yanga ni hiki:

1. Yaw Berko
2. Shadrack Nsajigwa
3. Oscar Joshua
4. Chacha Marwa
5. Nadir Haroub
6. Nurdin Bakari
7. Godfrey Taita
8. Rashid Gumbo
9. Davies Mwape
10. Hamis Kiiza
11. Kigi Makassy
 
Mwapeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaargh!!!!!!!!!!!!!!!
 
Jamani hebu naomba kujuzwa kitaaluma..... Shadrack Nsajigwa na 7?!

Hata mechi iliyopita na Bunamwaya kocha alipanga hivi hivi.......Aliua namba 7 akachezesha mabeki wawili wa kulia na ilisaidia sana maana bada ya Nsajigwa kutlewa Yanga walipoteza muelekeo na kusababisha Bunamwaya kusawazisha...Wanabadilishana.....Kuna kipindi Taita nacheza kama namba 2 na Nsajigwa namba 7 na kuna kipindi Nsajigwa anacheza kama namba 2 Taita anacheza 7 hivyo kuwachanganya wapinzani wao.....
 
Jana Simba ilicheza na Bunamwaya ya Uganda. Matokeo kama tujuavyo SImba ilishinda 2-1. SImba walicheza mpira mzuri kwa kweli. Kilichonishangaza ni kuwa baada ya kufunga goli la ushindi mashabiki wa Simba wakilishangilia goli lao walianza kuimba CCM! CCM! CCM! huku wakiangalia upande wa Yanga. Hali hii pia ilitokea siku Yanga walipocheza na hao hao Bunamwaya, waganda walkiposawazisha goli la pili na kuwa Yanga 2 Bunamwaya 2, washabiki wa Simba walishangilia tena CCM! CCM!

Nisichoelewa, je Simba ni mashabiki wa CCM? au Wanawatania Yanga kuwa wao Yanga ni CCM? na je Yanga kweli ni CCM? Kama ni CCM mbona wao wakifunga goli hawashangilii CCM? Naombwa kujuzwa kwa wenye kujua unazi wa timu hizi mbili.

Usiende mbali, anza na uongozi wa SSC...Ismail Aden Rage....
 
Yanga wana njia nyeupe zaidi kwenda finali
 
Back
Top Bottom