Mhindih
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 331
- 68
Punguza jaziba mkuu . Kesho yanga anapita Mungu yupo nasi Wtz ucjal.Kabla mpira haujaanza tulikuwa tunapata kashfa sana kuhusu jana, yani kwa simba yalikuwa hayajaisha tu! Kesho ni balaa, yaani kama tutafungwa kwa Simba itakuwa ni safi zaidi kuliko wao kulibeba hilo kombe, Adui mwombee njaa lakini kwa simba ni too much!