Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lol...................Nilikuwa na joke kuna jamaa wameonyeshwa kwenye screen wanafurahiya screen.
polisi wamelea huu ujinga kazi yao ni nini sasa?Timu zinaingia uwanjani sasa.....Mashabiki wa Yanga wanawarushia makopo watu w huduma ya kwanza kisa wamevaa nguo nyekundu na nyeupeUpumbavu huu sasa
Dakika 30 za nyongeza.Penalti hazijafika?