CECAFA KAGAME CUP 2011 Finals in Tanzania

CECAFA KAGAME CUP 2011 Finals in Tanzania

ila inaniuma chama langu kuhusishwa na CCM nasikia kichefuchefu mnoooooo ila mishkaki ntakulaaaaaaa
 
UKitoka uwanjani nitafute.. leo umenifurahisha saaaaana. upate angalau moja moto moja baridi, siyo lazima iwe kilevi lakini.
 
Orait pole St Ivuga...Bala tutafutane tule Bia kidogo.....
 
Yako wapi sasa?............................

Tumebebwa na leo???????????????????????????????????????????????
 
Safi sana Berko,safi sana Asamoah,safi sana Gumbo,safi sana Nurudin Bakari
 
Mtani Ivuga upoooo nilikwambia usikimbie sasa sikusikii tena YANGA HOYEEEEEEEEEEEEEEEEEE
 
Back
Top Bottom