Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kituko cha mwaka......
Ambulance inatumika kumulika jukwaa la zawadi...!!!!!!!!!!!!.................Makubwa
Halafu Super Sport wapo live........
Nchi ya maajabu kweli hii! Hakuna hata standby generator?Kituko cha mwaka......Ambulance inatumika kumulika jukwaa la zawadi...!!!!!!!!!!!!.................MakubwaHalafu Super Sport wapo live........
Bora aisee!Supersport wamekata sasa wanaonesha ligi ya kenya. wapo uwanjani nadhani wanarekodi
Nina wasiwasi kama kombe litakuwa la dhahabu linaweza kuibiwa!jamani hii aibu ya mwaka, hivi supersport inaonyeshaje au wanaemaje, khaaaaaaaaaa
Anabahati sana JK natamani angekuwa uwanjaniHii ni fedheha kwa nchi yetu aisee, hivi rais wa nchi anajisikiaje kama anashuhudia hii mechi kupitia runinga?
Rais wa nchi gani? Kama ni wa Bongo ataona poa tu. Au ulitaka ageuke jenereta akafue umeme pale uwanjani? Teh teh teh.....!Hii ni fedheha kwa nchi yetu aisee, hivi rais wa nchi anajisikiaje kama anashuhudia hii mechi kupitia runinga?
Ile ndogo sana! Hii Too much!Hii aibu ya pili kwa uwanja huu baada ya ile ya wimbo kugoma kupiga!
Hii aibu ya pili kwa uwanja huu baada ya ile ya wimbo kugoma kupiga!