SPINE
JF-Expert Member
- Dec 11, 2017
- 1,068
- 1,150
Timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 20 (Ngorongoro Heroes) wanakutana na vijana wenzao wa nchini Uganda katika mtanange wa robo fainali ya Cecafa U20. Mchezo huo utapigwa saa kumi jioni saa za Tanzania uwanja wa Pece-Stadium, Gulu . Mungu ibariki Ngorongoro heroes, mungu ibariki Tanzania.
Timu zimeshaingia uwanjani
UPDATES:
Dk 15: Tanzania 0-0 Uganda
Dk 25: Gooooaaalll, Simchimba anaipatia Tz goli, Tanzania 1-0 Uganda
Dk 35: Tanzania 1- 0 Uganda
Dk 42, Tz wanapata kona.....inapigwa, kipa anaiwahi
Imeongezwa dk moja kabla ya mapumziko
MPIRA NI MAPUMZIKO Tz 1-0 Uganda
Kipindi cha pili kinakaribia kuanza
Kipindi cha pili kimeanza
Dk46 Gooall, Uganda wanasawazisha, Tanzania 1-1 Uganda
Dk 60 Gooooaaalll, Simchimba anafunga goli la pili, Tanzania 2:1 Uganda
Dk 70 Tz 2-1 Uganda
Dk 76 Goaaall, Uganda wamesawazisha, Tanzania 2- 2 Uganda.....Goli limefungwa kizembe kabisa....Dah
Goooooooaaalll.....Kelvin John anaifungia goli la tatu Tz 3- 2 Uganda
Dk 90 Gooooooallll Tanzania 4-2 Uganda
MPIRA UMEKWISHA
FULL TIME: TANZANIA 4- 2 UGANDA
Timu zimeshaingia uwanjani
UPDATES:
Dk 15: Tanzania 0-0 Uganda
Dk 25: Gooooaaalll, Simchimba anaipatia Tz goli, Tanzania 1-0 Uganda
Dk 35: Tanzania 1- 0 Uganda
Dk 42, Tz wanapata kona.....inapigwa, kipa anaiwahi
Imeongezwa dk moja kabla ya mapumziko
MPIRA NI MAPUMZIKO Tz 1-0 Uganda
Kipindi cha pili kinakaribia kuanza
Kipindi cha pili kimeanza
Dk46 Gooall, Uganda wanasawazisha, Tanzania 1-1 Uganda
Dk 60 Gooooaaalll, Simchimba anafunga goli la pili, Tanzania 2:1 Uganda
Dk 70 Tz 2-1 Uganda
Dk 76 Goaaall, Uganda wamesawazisha, Tanzania 2- 2 Uganda.....Goli limefungwa kizembe kabisa....Dah
Goooooooaaalll.....Kelvin John anaifungia goli la tatu Tz 3- 2 Uganda
Dk 90 Gooooooallll Tanzania 4-2 Uganda
MPIRA UMEKWISHA
FULL TIME: TANZANIA 4- 2 UGANDA