Kwa hiyo wakati wa chama ki1 ccm hawakutakiwa kujenga ofisi zao?CCM mjue hamna jingo hata moja, hayo ni nyumba za serikali maana mlizinyakua wakati wa chama kimoja ambacho kilikuwa sehemu ya bajeti ya kodi za wananchi. iende irudi nyumba hizo mtanyanganywa maana iko kwenye vitabu na mioyo ya watanzania kuwa si vyenu. Kaa ukijua. Kama wewe ni Magufuli , Bashiru, Polepole etc jua hilo!
Jina geni
Sidhani kama ataweza kupambana na police
Pia anaonekana ni snichi sana kwa sababu hajawahi uonekana kwenye migongano yoyote na police.
Anaweza kuwa na maono mazuri ya kwenye karatasi lakini asifanikiww kutokana na ukosefu wa uelewa mzuri wa siasa za tz.
Chadema ni kubwa sana..
Kwani mgombea ni mwana wa ukoo?? Au anataka kupeleka malipo za ukoo to the dogs ?Watu walio karibu na mgombea wa Uenyekiti wa Chadema mh Cecil Mwambe wamesema moja ya vipaumbele vya mgombea huyo ni kuhakikisha Chadema inajenga jengo la kisasa la makao makuu.
Ikumbukwe kuwa baada ya kuhama pale kisutu kwenye ofisi za rip Ndesamburo Chadema walijihifadhi mtaa wa Ufipa pale kinondoni kwenye nyumba ya NHC iliyokuwa chini ya rip Bob Makani. Baadae Chadema walifanikiwa kuimiliki nyumba hiyo na kuifanya kuwa makao makuu.
Wapambe wa Mwambe wanadai kuwa Chadema ni chama kikubwa kinachostahili kuwa na ofisi zenye hadhi yake kama lilivyo jina lake Chama cha Demokrasia na Maendeleo.
Pia Mwambe anatarajia kuupa nguvu umoja wao wa vijana yaani Bavicha ambao kwa sasa ni kama umekufa ganzi huko mikoani na kubakia Dsm tu.
Ni hayo tu kwa uchache.
Maendeleo hayana vyama!
Na ruzuku zenu huwa mnapeleka wp? Maana hatujawahi kuziona wajumbeKwa pesa ipi wakati ruzuku zote hadi DEC 2020 mbowe alishazichukulia mkopo benk
Pesa ikiingia tu benk wanakuala ,hivi hamjui kuwa mbowe alishaimaliza chadema
State agent
Mwizi anaonekana tajiri, miaka yote CCM ilikuwa hoi kifedha lakini ghafla ikatajirika bila kufanya biashara yoyote wala kujiunga na freemason! Huyu ndiye anayesifiwa kwa utajiri. Rais Ghadafi ikulu yake ilikuwa hema na nchi yake ilikuwa tajiri kuliko sisi sasa sijui hayo makao makuu ya ghorofa hamsini yataleta tija gani ndani ya kukiimarisha chama mikoani, watanzania tujifunze toka ulaya.Watu walio karibu na mgombea wa Uenyekiti wa Chadema mh Cecil Mwambe wamesema moja ya vipaumbele vya mgombea huyo ni kuhakikisha Chadema inajenga jengo la kisasa la makao makuu.
Ikumbukwe kuwa baada ya kuhama pale kisutu kwenye ofisi za rip Ndesamburo Chadema walijihifadhi mtaa wa Ufipa pale kinondoni kwenye nyumba ya NHC iliyokuwa chini ya rip Bob Makani. Baadae Chadema walifanikiwa kuimiliki nyumba hiyo na kuifanya kuwa makao makuu.
Wapambe wa Mwambe wanadai kuwa Chadema ni chama kikubwa kinachostahili kuwa na ofisi zenye hadhi yake kama lilivyo jina lake Chama cha Demokrasia na Maendeleo.
Pia Mwambe anatarajia kuupa nguvu umoja wao wa vijana yaani Bavicha ambao kwa sasa ni kama umekufa ganzi huko mikoani na kubakia Dsm tu.
Ni hayo tu kwa uchache.
Maendeleo hayana vyama!
Ofisi ni za serikali ccm haijawahi kujenga hata ofisi moja na kama wamewahi kujenga tuambie ni wapi ktk Tanzania hii.Kwa hiyo wakati wa chama ki1 ccm hawakutakiwa kujenga ofisi zao?
Kwa pesa ipi wakati ruzuku zote hadi DEC 2020 mbowe alishazichukulia mkopo benk
Pesa ikiingia tu benk wanakuala ,hivi hamjui kuwa mbowe alishaimaliza chadema
State agent
Mku ukifunga kamba za viatu kumbuka tena kulegeza kidogo!!!Ofisi ni za serikali ccm haijawahi kujenga hata ofisi moja na kama wamewahi kujenga tuambie ni wapi ktk Tanzania hii.