johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #81
Vita siyo lelemama bwashee!Pandikizi linachukua fomu,
Huyu dogo ameanza vibaya kuchukua fomu tayari kaanza shobo, kwa mwenyekiti anayemaliza muda wake,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vita siyo lelemama bwashee!Pandikizi linachukua fomu,
Huyu dogo ameanza vibaya kuchukua fomu tayari kaanza shobo, kwa mwenyekiti anayemaliza muda wake,
Mbowe safari hii kapata mpinzani wa kweli siyo wale magumashi anaowawekaga!Wanachadema hakuna haja ya kuwa na hofu. Kama Mbowe amefanya mambo makubwa na ya kutukuka na bado mnamuhitaji sana atawale na kuongoza milele dumu, just stay cool, acheni watu wachukue form na siku ya uchaguzi mkamchague Mbowe kwa ushindi wa kishindo. Hakuna haja ya kuanza vilio vya hofu mara huyu ‘pandikizi la chama kile’ au huyu hafai maana ‘hajawahi kulala selo’. Acheni kura ziamue.
Msiwe kama CCM wanaojigamba kufanya mambo makubwa sana ila wanahofia uchaguzi huru vibaya mnooo.
Hizo zilizojaa huko za jalalani zina tija gani kwaTaifa?Chadema kuna PhD mojja tu ya Prof Jay!
Ndio hizo za akina Jafo zinazowanyoosha hadi mnamkumbuka Kingwendu wa UKAWA!Hizo zilizojaa huko za jalalani zina tija gani kwaTaifa?View attachment 1273243
Wako mahakamani kwa uhalifu waliotenda siyo wapigania uhuru wale!Mama Cecil uongozi ndani ya Chadema sio mchezo,Viongozi wote wako Mahakamani,wapo waliofungwa,sero ndio kila siku wewe utaweza?
cecilia mwmbwe ndo nan jaman?hapana tunamtaka Mbowe...!asante sana kw kushiriki mamaCCM mnamuogopa sana mbowe, mnataka kuweka mapandikizi yenu
Pamoja sana mkuu!Go Mwambe
Go Cecil
Wapenda Demokrasia nchini kote, bila kujali vyama, tupo nyuma yako
Mbowe anarudi Nyasa kuvua samaki!Huyu
cecilia mwmbwe ndo nan jaman?hapana tunamtaka Mbowe...!asante sana kw kushiriki mama
Mama Cecil uongozi ndani ya Chadema sio mchezo,Viongozi wote wako Mahakamani,wapo waliofungwa,sero ndio kila siku wewe utaweza?
Mbowe anarudi Nyasa kuvua samaki!
Kwani Cecil mwambe ni mwanamke mkuu Yani hata mgombea mwingine humjuiUenyekiti ni wa Mbowe huyo mama akagombee na kina Mdee,ccm toka imezaliwa haijawahi kuwa na Mwenyekiti mwanamke
Kwani Cecil mwambe ni mwanamke mkuu Yani hata mgombea mwingine humjui
View attachment 1273262
Chadema hawajuani mkuu!Kwani Cecil mwambe ni mwanamke mkuu Yani hata mgombea mwingine humjui
View attachment 1273262
Huyu sio pandikizi la ccm? Maana alitokea chama kileMgombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa Chadema mh Cecil Mwambe amesema haitaji watu wa kumchukulia fomu kwani zoezi hilo atalifanya yeye mwenyewe kwa kuwa anajiamini.
Mwambe amesema anachoomba ni ushirikiano kutoka kwa wale wote wenye mapenzi mema na Chadema ili kwa pamoja waweze kushinda.
Source Global tv
My take; Nakubaliana na Mwambe mambo ya kuchukuliana fomu ni mbinu za kizamani zilixotumiwa na akina rip Bamchawi pale Simba SC!
Asante. You made my year ending!!. CCM mpeni chama Membe, mpate demokrasia ya kweliBenard Membe naye ataibadili CCM kutoka genge la kigaidi linalotumia mabavu ya dola kutawala hadi kuwa chama halisi cha siasa .
Si wanachama wanasema ati wana imani na Mbowe? Hakuna haja ya kelele nyingi. Watulie tu na wakampigie kura huyo walio na imani nae na kura zitaongea. Numbers never lie. Hizi kelele za ‘huyu ni pandikizi la CCM’ ni utoto tu. Kama ni pandikizi so what? Just don’t vote for him!Mbowe safari hii kapata mpinzani wa kweli siyo wale magumashi anaowawekaga!
Unaweza kujikuta wewe ndio laini laini!🤣🤣🤣nikajua ke!!hapana anaonekana laini lain sana huyu hafaiii