Cecil Mwambe: Sihitaji mtu anichukulie fomu, nitaenda kuchukua mwenyewe ila tuwe pamoja kwenye kampeni kama mnanikubali

Mbowe kafanya jambo la kitoto na kijinga maigizo ya kuchukuliwa fomu, hiyo inaonyesha Mbowe uwezo wake wa kiuongozi ni mdogo na hana tena la kuisaidia CHADEMA, Ni vizuri Mbowe akae pembeni apishe mawazo mapya
DJ Mbowe (kwa sauti ya jingle za ma DJ)
 
Anachezea SHARUBU za mwenyekiti wa kudumu
 
Hii senema wanaicheza vizuri according to the script.

Subirini muda wa uchaguzi muone kitakachojiri...
 
Hii senema wanaicheza vizuri according to the script.

Subirini muda wa uchaguzi muone kitakachojiri...
Wacheze inavyowapendeza lakini wasijesahau mwakani wanakabidhi uongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni kwa ACT.
 
2025 tunamchulia JPM form na tutaandamana nchi nzima kuhakikisha anagombea tena urais

Kama noma na iwe noma.
 
Jo umemaliza kabisa, akiona hii comment ataacha kugombea
 
Cha ajabu wanaccm mitandaoni ndio wafuasi wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…