Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
wakuu, nimekuja na neno hili baada ya kushuhudia wema Sepetu alivyofanya fujo na kujidhalilisha ndani ya Ofisi za GPL..
kwa kweli kwa jambo kama lile, sidhani kama wema sepetu alistahili kwenda yeye kama yeye kama kweli aliona ameonewa na uongozi wa Global Publishers Limited..
huu ni wakati sasa wa wasanii wetu kuiga mifano kwa wasanii wakubwa wa nje kama Chriss Brown, J-z ama msanii yeyote yule, wasanii wetu wanatakiwa kuwa na wanasheria wa kushughulikia mambo yao nyeti kama dai la Wema sepetu kama kweli aliona ameonewa..
hebu tujiulizeni wakuu,
--hivi ilikuwa ni sahihi kwa wema sepetu kwenda ofisi za GPL na kufanya fujo na kujiita kichaa?
--kwa picha alioinesha wema mpaka kuvua viatu na kupigana na uongozi ndani mle, je ile imemjenga ama imembomoa?
nimebaki najiuliza sana kwanini wema sepetu hakuchukua hatua za kufungua mashtaka mahakamani badala yake akaenda mwenyewe kufanya fujo???
nadhani sasa wasanii wetu wafikie kipindi cha kumiliki wanasheria wao binafsi, wema angeweza kulipwa kwa madai yake endapo angepata mtu wa kumsimami kisheria....
kwa incident ile, kampuni nzima na uongozi wa GPL una haki ya kumshtaki wema sepetu kwa kuwafanyia fujo na kuwazalilisha kwa mameno machafu...
celebrities wetu jamani jipangeni kwenye mambo yenu, tafuteni wanasheria wa kusimamia mambo yenu kiujumla..
kwa kweli kwa jambo kama lile, sidhani kama wema sepetu alistahili kwenda yeye kama yeye kama kweli aliona ameonewa na uongozi wa Global Publishers Limited..
huu ni wakati sasa wa wasanii wetu kuiga mifano kwa wasanii wakubwa wa nje kama Chriss Brown, J-z ama msanii yeyote yule, wasanii wetu wanatakiwa kuwa na wanasheria wa kushughulikia mambo yao nyeti kama dai la Wema sepetu kama kweli aliona ameonewa..
hebu tujiulizeni wakuu,
--hivi ilikuwa ni sahihi kwa wema sepetu kwenda ofisi za GPL na kufanya fujo na kujiita kichaa?
--kwa picha alioinesha wema mpaka kuvua viatu na kupigana na uongozi ndani mle, je ile imemjenga ama imembomoa?
nimebaki najiuliza sana kwanini wema sepetu hakuchukua hatua za kufungua mashtaka mahakamani badala yake akaenda mwenyewe kufanya fujo???
nadhani sasa wasanii wetu wafikie kipindi cha kumiliki wanasheria wao binafsi, wema angeweza kulipwa kwa madai yake endapo angepata mtu wa kumsimami kisheria....
kwa incident ile, kampuni nzima na uongozi wa GPL una haki ya kumshtaki wema sepetu kwa kuwafanyia fujo na kuwazalilisha kwa mameno machafu...
celebrities wetu jamani jipangeni kwenye mambo yenu, tafuteni wanasheria wa kusimamia mambo yenu kiujumla..