Elimu ya kujitambua.....Zari kama mwenyewe anavyojiita bosslady wiki aliopita alisaini mkataba wa kuwa Brand ambassador wa GSM mall zilizopo Pugu na Msasani.
Tayari ameshafanya tangazo bado kutoka tu, pia jana alikuwa Pugu mall kutimiza majukumu take
View attachment 471982
Cha kujiuliza Bongo tuna celebrities wa kike kibao kuanzia Wema sepetu mwenye wafuasi kibao, jokate, Kajala, Shilole, Wolper, Uwoya, Vanessa mdee, na wengine kibao, Hawa nawakosa mini kupata madeal ya maana kama haya? MTU katoka Uganda kapata deal
Tatizo ni mini hapa?
HeheheheeWamekosa watoto watano
Period
Onhooo umenenaNafikiri kuwa "Sokoni" kwa wakati huu ndio sababu.
Kama kudanga huyo Zari kadanga sana,mapicha ya uchi mpaka video,abortion sana na ukiruka njia kafanya .
She is business orientede,marketable na beautiful....for the time being.
Amejitambua.Katulia...kwa saa hizi.
Kuuza papuchi tu,hawana self confidence,kichwani kumejaa shahawa tu.Celebrities wengi wa bongo kichwani hamna kitu, wanajua njia moja tu ya kutafuta pesa
Wamekosa watoto watano
Period
Hoja ya maanaUtampatiaje uambassador mtu kila siku anavujisha mapicha ya ngono mitandaoni!
Halafu angalia mfano yule dada aliyefanya video na diamond marry you alivyokuwa anapost kila siku kwenye page yake, angalau anaonyesha anathamini kazi yake!
Sasa hawa jitu likipewa pesa basi ndio linaondoka mazima!
Kifupi hawajui kumfanya mtu atamani kufanya nao kazi
Wanajua tu kuzifanyia brand papuchi zao tu,huko hakuna anayewafikia
leta link prof na mie nikafaidi mautamuHongera zake huyo mama anajituma sana kwenye kutafuta mpunga sema lile video lake la kujichokonoa kule XVIDEOS lina mshushia sana heshima.
Kujitambua kwa kubadili wanaume kama nguo?!Zari ana ubibi gani? Mwangalie tangu alipokuwa binti mdogo alikuwa anajitambua, na ndio sababu aliweza kuwa na ivan na kuwa na familia bora, japo zari sio bibi ila huyo wema atakapokuwa bibi atakuwa amechooka na unga....... we mtu una kashfa za kubwia unga, kampuni gani itakutaka?
Zari ni next level
[emoji3] [emoji3] [emoji3] Wema kasoma Malaysia mkuu , hata English yuko vizuri