Celebrities wa kike Bongo wanakosa nini ambacho Zari anacho?

Celebrities wa kike Bongo wanakosa nini ambacho Zari anacho?

Zari kama mwenyewe anavyojiita bosslady wiki aliopita alisaini mkataba wa kuwa Brand ambassador wa GSM mall zilizopo Pugu na Msasani.
Tayari ameshafanya tangazo bado kutoka tu, pia jana alikuwa Pugu mall kutimiza majukumu take
View attachment 471982
Cha kujiuliza Bongo tuna celebrities wa kike kibao kuanzia Wema sepetu mwenye wafuasi kibao, jokate, Kajala, Shilole, Wolper, Uwoya, Vanessa mdee, na wengine kibao, Hawa nawakosa mini kupata madeal ya maana kama haya? MTU katoka Uganda kapata deal
Tatizo ni mini hapa?
Elimu ya kujitambua.....
 
Kuna criterias nyingi za kuangalia, kuanzia unapolala mpaka unavyojiweka, Zari has all these, she's a classy woman somehow to compare with the local ones.
 
Nafikiri kuwa "Sokoni" kwa wakati huu ndio sababu.
Kama kudanga huyo Zari kadanga sana,mapicha ya uchi mpaka video,abortion sana na ukiruka njia kafanya .
She is business orientede,marketable na beautiful....for the time being.
Amejitambua.Katulia...kwa saa hizi.
 
Wanakosa akili na kutojitambua" + hawana goals tamaa za muda mfupi zinawasumbua
 
Nafikiri kuwa "Sokoni" kwa wakati huu ndio sababu.
Kama kudanga huyo Zari kadanga sana,mapicha ya uchi mpaka video,abortion sana na ukiruka njia kafanya .
She is business orientede,marketable na beautiful....for the time being.
Amejitambua.Katulia...kwa saa hizi.
Onhooo umenena
 
Bwanawake wa bongo ni shida

Wema sembe. Bangi
Masogage sembe
Wolper bangi
Gigi man picha za uchi bangi
Amba Lulu bangi sembe

Kila demu na skendo

Zari apati mama yy Bali jina la mondi ndio linamuinua na kumtangaza

Wema alikua huu ila alijiona yy ndio anaetangaza jina la mondi na kujiona super star sasa, amekua super star kwa jina la ngada
 
Tatizo shule kichwani hamna...
Ndo maana LOWASSA alikua anasema vipaombele vyake ni:-
1. Elimu
2. Elimu
3. Elimu
 
Celebrities wengi wa bongo wanaji brand kwa matukio mengi ya uongo na ya uzushi na yasiyo mazuri... mtu anafumua mitusi ovyo kama hana akili nzuri nani ataenda kufanya nae biashara... mtu anatafuta sifa za kijingine wakati hakuna cha maana chochote anachokifanya...
 
Utampatiaje uambassador mtu kila siku anavujisha mapicha ya ngono mitandaoni!
Halafu angalia mfano yule dada aliyefanya video na diamond marry you alivyokuwa anapost kila siku kwenye page yake, angalau anaonyesha anathamini kazi yake!

Sasa hawa jitu likipewa pesa basi ndio linaondoka mazima!
Kifupi hawajui kumfanya mtu atamani kufanya nao kazi

Wanajua tu kuzifanyia brand papuchi zao tu,huko hakuna anayewafikia
Hoja ya maana
 
Zari ana ubibi gani? Mwangalie tangu alipokuwa binti mdogo alikuwa anajitambua, na ndio sababu aliweza kuwa na ivan na kuwa na familia bora, japo zari sio bibi ila huyo wema atakapokuwa bibi atakuwa amechooka na unga....... we mtu una kashfa za kubwia unga, kampuni gani itakutaka?
Kujitambua kwa kubadili wanaume kama nguo?!

Umemjua Zari akiwa na Dimond nini?!Pitia Pitia mitandao ya Uganda Zari hana tofauti yoyote na Wema.Tena huko kwenye Unga Zari Ana kashfa ya kuuza kabisa nini kutumia
 
Back
Top Bottom