Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Tumekabeba kalipokua kadogo kwao Chang'ombe. Mama yake kitukuu huko sijui wa Chief Mkwawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha sema tu love. ....
nendo google utajuaMtera ndo nini?
Ukiona mwanamke kaachwa na mwanaume ujue tatizo lipo kwa mwanamke maana hakuna mwanaume anakubali kukiachia kitu kizuriAsha Piga ndoa mbili huyo na zote kaachika
Ndiyo maana tumeumbwa na makoromeo... ni pamoja na kua wasiri...
Wanaume gani unawazungumzia ndugu yanguUkiona mwanamke kaachwa na mwanaume ujue tatizo lipo kwa mwanamke maana hakuna mwanaume anakubali kukiachia kitu kizuri
Kuna kipindi mondi alikua anafukuzia huyu mtoto,sijui aliishia wapi!
Anaanzia wapi kunizidi hahahahah lol..
Wkt ukiniona unaweza toka mbioo hahah
Ahhh tusemage ukweli jmnMimi naskiaga mademu wa JF wote ni visu balaha!
ningeshangaa sana kama huyo angekuwa anakuzidi wakati mimi namuona wa kawaiiiiiiida.
Na mdomo umekaa mshazari kama ulipasuliwa kwa wembe, yaani umekaribia maskio pande zote(kulia na kushoto).Macho yake mekundu kama bandama ya fisi.
AhahajjhahajiHarrier tako la nyani nita muhonga ngoja ni shinde mkeka naua wakubwa wote man u Barcelona arsenal real Madrid Bayern Munich
Mkuu Hebu pata hiyo. SanchiWowowo kwenye ubora wake. Hiyo ndio ChuraKweli chura hujamuona au unatania? Aisee
Naona umejiposti ...tatizo lako ni mashine mbovu bibieMkuu Hebu pata hiyo. SanchiWowowo kwenye ubora wake. Hiyo ndio ChuraView attachment 1183781